MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers
Habari

Polisi wazuia uhalifu Tanganyika Packers

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MKAZI wa Mbezi Luis mkoani Dar es Salaam, Festo Maricha (27) amejeruhiwa na polisi baada ya kutoa panga kwa ajili ya kutaka kumdhuru askari akiwa kwenye majukumu yake ya kikazi.
Kamanda wa Kanda Maalum ya Polisi Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema hayo katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari ya kueleza mikakati ya kuhakikisha usalama wa Jiji la Dar es Salaam unakuwa wa hali ya juu.
Muliro amesema mtuhumiwa Maricha alikuwa na mwenzake ambaye hakufahamika jina alikimbia.
Akielezea tukio hilo amesema, Septemba tatu majira ya saa mbili usiku, jeshi hilo lilipokea taarifa kutoka kwa raia wema kuwa maeneo ya Kawe Tanganyika Packers, kulikuwa na watu wawili waliokuwa na mapanga.
Amesema watu hao walitishia na kupora wapita njia.
“Ufuatiliaji wa polisi ulifanyika haraka na kuwakuta watu hao ambapo walipotaka kukamatwa walikaidi na kutoa mapanga kutaka kumdhuru mmoja wa askari, ambaye alijihami kwa kupiga risasi hewani.
” Na baadaye alipokuwa kwenye hatari kubwa ya kudhuriwa alimjeruhi kwa risasi mtuhumiwa mmoja Festo Maricha, ambaye amepelekwa hospitali ya Mwananyamala kwa matibabu,” amesema.

You Might Also Like

Endeleeni Kuunganisha Mifumo Ya TEHAMA Ya Kisekta – Kakoso

TARURA yaokoa kiasi kikubwa cha fedha kwa kujenga madaraja ya mawe

NCCR-MAGEUZI Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 

Asali inayozalishwa nchini kukidhi ubora wa kimataifa

Serikali Inaendelea Kutekeleza Mradi wa Kupeleka Umeme Grid Ya Mtwara Na Lindi- Kapinga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Ushirikiano Wa Nchi Za Kiafrika Uthibitike Kwa Vitendo -Dkt. Biteko
Next Article Polisi Yatoa Onyo Kali Kwa Waganga wa Tiba Mbadala
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Viongozi Watakiwa Kuweka Haki Mbele Katika Kusimamia Masuala ya Wafanyakazi — COWTU (T)
Habari November 25, 2025
Huduma za Maktaba Zabadilika: Malipo Kidijitali, Usomaji Mtandaoni
Habari November 25, 2025
Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?