MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi
Habari

Rais Samia kufungua mkutano wa Mawaziri wa Uvuvi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Lucy Lyatuu

MKUTANO wa nane wa mawaziri wa Uvuvi,Bahari na maji ukanda wa karibiani na pasifiki (OACPS) unatarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam ukilenga kuweka mkakati wa pamoja kuhusiana na sera zinazohusiana na masuala ya Uvuvi na ufugaji pamoja na viumbe maji.

Mkutabo huo unatarajia kufanyika kuanzia Septemba 9 mpaka 13 mwaka 2024 ukijumuisha mawaziri wakisekta, wataalam wa sekta ya Uvuvi kutoka nchi wanachamana na ulimwengu Kwa ujumla, Taasisi sisizo za kiserikali, Taasisi za kikanda,watafiti,vyuo vikuu,na Wavuvi wadogo.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Abdallah Ulega amesema hayo Leo alipozungumza na waandishi wa habari kuelekea mkutano huo na kwamba Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi .

Amesema mkutano huo umepangwa kufanyika pamoja na kongamano la kimataifa kuhusu mikakati ya uboreshaji wa mnyororo wa uzalishaji wa vyakula vya majini.

Kuhusu lengo la mkutano huo Waziri Ulega amesema ni kujadili masuala mbalimbali ya sekta ya Uvuvi katika nchi wanachamana ikiwa ni pamoja na kuweka mkakati wa pamojas kuhusiana na sera zinazohusiana na masuala ya Uvuvi na ufugaji viumbe maji Ili Kuimarisha sekta ya Uvuvi.

Amesema pamoja na hayo ameeleza manufaa yatakayopatikana kuwa ni kufungua fursa za uwekezaji kwenye uchumi wa bluu hususani kwenye maeneo makuu mawili ya Uvuvi na Ufugaji samaki, pamoja na kuendelea kuboresha mahusiano ya matumizi ya rasilimali za maji ya asili.

Mkutano huo utafungwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi

You Might Also Like

Matukio Mbalimbali Katika Picha Baada Ya Waziri Mkuu Kuwasilisha Makadirio Ya Mapato Ya Bajeti

Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita

Rais Samia azindua skuli ya maandalizi Tasani

TASAC yajipanga kuhudumia wafanyabiashara

Ruto: Uwekezaji wa NSSF Nairobi ni mfano bora wa matumizi ya akiba

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mjadala na Kampuni za Nishati Kimataifa Kuendelezwa
Next Article Bunge lapitisha muswada marekebisho ya sheria za Hifadhi ya Jamii
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?