MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27
Habari

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetangaza rasmi   kuwa Novemba  27, 2024 itakuwa ni siku
ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania Bara na  upigaji wa kura utaanza saa mbili kamili asubuhi na kumalizika saa 10 kamili jioni.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Mohamed Mchengerwa amesema hayo  jijini Dodoma wakati wa kutolewa tangazo la uchaguzi wa serikali za mitaa Kwa mwaka 2024.
Amesema  Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka
2019 anautangazia umma wa Watanzania na vyama vyote vya siasa vyenye usajili wa kudumu .
“Ninawatakia uchaguzi mwema, amani na utulivu katika kipindi chote cha uandikishaji, uteuzi wa wagombea, kampeni, upigaji kura, wakati wa kutangaza na kupokea matokeo ya uchaguzi,’amesema.
Amesema Uchaguzi huo unaongozwa na Kanuni za Uchaguzi wa Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya vijiji, Vitongoji na mitaa katika Mamlaka za Wilaya na Mamlaka
za Miji.
Amesema Kwa mujibu wa Kanuni hio, uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya wapiga kura utaanza siku ya 47   kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku 10 kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi katika majengo ya umma na pale
ambapo hakuna jengo la umma,
Uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na viongozi wa vyama vya siasa.
Amesema Kwa mujibu wa Kanuni hizo, vituo vya kujiandikisha kupiga kura na kupigia kura, kwa maeneo yaliyo chini ya Halmashauri za Wilaya na Mamlaka za Miji Midogo vitakuwa katika ngazi ya kitongoji.
 Kadhalika amesema Kwa upande wa Mamlaka za Miji (Miji, Manispaa na Majiji), vituo vya kujiandikisha kupiga kura na kupigia
kura vitakuwa katika ngazi ya mtaa.

You Might Also Like

NIT yawapika vijana

𝐓𝐅𝐒 Y𝐚𝐧𝐝𝐚𝐚 M𝐤𝐚𝐤𝐚𝐭𝐢 W𝐚 M𝐢𝐚𝐤𝐚 1𝟎 Ku𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐳𝐚 N𝐚 K𝐮𝐡𝐢𝐟𝐚𝐝𝐡𝐢 M𝐢𝐬𝐢𝐭𝐮 Ya Mi𝐤𝐨𝐤𝐨 𝐓𝐚𝐧𝐳𝐚𝐧𝐢𝐚 𝐁𝐚𝐫𝐚

Serikali Kupeleka Umeme Maeneo Ya Kimkakati

NIT Yajivunia Uanzishwaji Chuo Cha Marubani

Samia ashiriki mashindano ya dunia ya Quran

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt  Biteko ashiriki  Kikao Cha Mawaziri  wa Nishati  Uganda
Next Article Chalamila afanya ukaguzi mwenendo wa utoaji huduma Kivuko cha Feri
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?