MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27
Habari

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imetangaza rasmi   kuwa Novemba  27, 2024 itakuwa ni siku
ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa Tanzania Bara na  upigaji wa kura utaanza saa mbili kamili asubuhi na kumalizika saa 10 kamili jioni.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Mohamed Mchengerwa amesema hayo  jijini Dodoma wakati wa kutolewa tangazo la uchaguzi wa serikali za mitaa Kwa mwaka 2024.
Amesema  Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa za Mwaka
2019 anautangazia umma wa Watanzania na vyama vyote vya siasa vyenye usajili wa kudumu .
“Ninawatakia uchaguzi mwema, amani na utulivu katika kipindi chote cha uandikishaji, uteuzi wa wagombea, kampeni, upigaji kura, wakati wa kutangaza na kupokea matokeo ya uchaguzi,’amesema.
Amesema Uchaguzi huo unaongozwa na Kanuni za Uchaguzi wa Viongozi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ngazi ya vijiji, Vitongoji na mitaa katika Mamlaka za Wilaya na Mamlaka
za Miji.
Amesema Kwa mujibu wa Kanuni hio, uandikishaji na uandaaji wa Orodha ya wapiga kura utaanza siku ya 47   kabla ya siku ya uchaguzi na utafanyika kwa muda wa siku 10 kwa kutumia fomu iliyoainishwa katika Jedwali la Kwanza la Kanuni hizi katika majengo ya umma na pale
ambapo hakuna jengo la umma,
Uandikishaji utafanyika kwenye sehemu ambayo Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi atakuwa amekubaliana na viongozi wa vyama vya siasa.
Amesema Kwa mujibu wa Kanuni hizo, vituo vya kujiandikisha kupiga kura na kupigia kura, kwa maeneo yaliyo chini ya Halmashauri za Wilaya na Mamlaka za Miji Midogo vitakuwa katika ngazi ya kitongoji.
 Kadhalika amesema Kwa upande wa Mamlaka za Miji (Miji, Manispaa na Majiji), vituo vya kujiandikisha kupiga kura na kupigia
kura vitakuwa katika ngazi ya mtaa.

You Might Also Like

Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa

Sheikh Akemea Wanawake,Wanaume Wanaovaa Vibaya 

Trump Ashinda Uchaguzi Marekani

Asilimia 22 Ya Vijana Wanakumbwa Magonjwa Yasiyo Ya Kuambukizwa

Mwalunenge Kuunganisha Mbeya Mjini, Kusukuma Maendeleo Na Ajira Kwa Vijana

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Dkt  Biteko ashiriki  Kikao Cha Mawaziri  wa Nishati  Uganda
Next Article Chalamila afanya ukaguzi mwenendo wa utoaji huduma Kivuko cha Feri
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Serikali Yatoa Mwelekeo Maandalizi AFCON 2027, Yaimarisha Miundombinu Nchini
Habari April 17, 2026
Makampuni 100 kushiriki maonesho ya OSHA Njombe
Habari April 17, 2026
Ufaulu  Wa   Somo La Hisabati  Shida Ya Taifa- Wanu
Habari April 16, 2026
Ofisi ya Rais Mipango Yaomba Bilioni 144.85 kwa Bajeti 2026/27
Habari April 16, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?