MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mgahawa unaotembea fursa kwa vijana, kutoa huduma ya unywaji wa kahawa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mgahawa unaotembea fursa kwa vijana, kutoa huduma ya unywaji wa kahawa
Habari

Mgahawa unaotembea fursa kwa vijana, kutoa huduma ya unywaji wa kahawa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: VIJANA wameitiwa fursa ya mgahawa unaotembea ambao utawawezesha kuwapatia kipato kitakachowasaidia kuendesha maisha yao.
Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Kahawa nchini, Primus Kimaryo amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yajulikanayo kama 88 yanayoendelea Jijini Dodoma.
Amesema kwa kutambua fursa hiyo kwa vijana, bodi imezindua mradi wa mgahawa unaotembea maeneo mbalimbali yenye mikusanyiko ya watu ili kutoa huduma ya unywaji wa kahawa.
“Mkakati huu unalenga kuongeza unywaji wa kahawa kutoka asilimia saba mpaka nane ambao ni unywaji wa sasa kufikia asilimia 15,” amesema.
Amesema bodi imeona ifanye hivyo ili kuongezea thamani zao la kahawa ikiwa ni pamoja na kutoa ajira kwa vijana.
Kwa maelezo ya Mkurugenzi Mkuu huyo, vijana watakaopata mradi huo kwa mkopo nafuu, ambao baada ya miaka mitatu mhusika anapaswa kurejesha gharama hizo kisha mgahawa huo unakuwa mali yake.
” Msukumo mkubwa ni kuona namna gani vijana wanaweza kupata ajira kupitia zao la kahawa kwani kijana kupata ardhi au kukodisha mgahawa ni changamoto,” amesema.
Aidha amesema,mpaka hivi sasa gharama za mkopo huo ni shilingi milioni 30 huku akisema wanaanza kwa kutengeneza migahawa 100  ambayo itatengenezwa kwa awamu.
Na kwamba vijana watakaokidhi vigezo vya kupata mkopo huo, watapatiwa mafunzo ya uendeshaji wa migahawa hiyo ili ilete tija iliyokusudiwa.

You Might Also Like

Ridhiwani Ateta na Viongozi wa Vijiji Lugoba, Chalinze 

Dkt Biteko Ampongeza Mwanafunzi Aliyeelezea Miradi Ya Umeme

Watanzania Watakiwa Kufanya Kazi Kwa Bidii

NIT yawapika vijana

GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia akunwa na Tarura
Next Article NHIF: Ruksa wanachama kutumia NIDA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Sheria Ya  Kuzuia Shisha Kutungwa, Yabainika Kuwekwa Dawa Za Kulevya
Habari May 29, 2026
Waraibu Wa Dawa Za Kulevya 85,425  Wapatiwa Huduma Ya Tiba Nchini Kwa Mwaka 2025
Habari May 29, 2026
NHC Kuendelea Kutekeleza Miradi Mikubwa Ya Kimkakati Ya Ujenzi Wa Nyumba
Habari May 28, 2026
Kutokulipa Kodi Ya Pango La Ardhi Unakosa Sifa Za Kugombea Nafasi Za Uongozi
Habari May 28, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?