MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari

Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Palamagamba Kabudi, amepongeza kampuni ya E & D Vision Publishing baada ya kutembelea banda lao katika Maonesho ya 32 ya Kitaifa ya Vitabu Tanzania yanayoendelea katika viwanja vya Maktaba Kuu, Dar es Salaam.
Habari Picha 10404
Akizungumza mara baada ya Waziri Kabudi kutembelea banda hilo, Meneja wa E & D Vision Publishing, Tumsifu Usiri, amesema maarifa ni nguzo muhimu katika kumjenga mtu anayejiamini na anayejitambua.
Habari Picha 10405
Meneja huyo ameyasema hayo Novemba 21, 2025, wakati wa ufunguzi wa maonesho hayo ambayo yamefunguliwa rasmi na Waziri Kabudi.
Amesema kampuni hiyo ipo makini kuhakikisha vitabu wanavyozalisha vinawafikia Watanzania wa makundi yote.
Amesema ushiriki wao katika maonesho hayo ni fursa muhimu ya kukutana na wadau mbalimbali wa sekta ya vitabu nchini.
Amefafanua kuwa E & D Vision Publishing inachapisha vitabu kuanzia ngazi ya awali, msingi, sekondari hadi vyuo vikuu.
Pia huchapisha vitabu vya maarifa mbalimbali, ikiwemo kitabu kinachohusu Mlima Kilimanjaro pamoja na vitabu vya watu mashuhuri serikalini wakiwemo Juma Mwapachu, Barnaba Samatta, Richard Mabala na wengineo.
Aidha, kampuni hiyo inachapisha vitabu vya nukta nundu (Braille) kwa ajili ya watu wenye uoni hafifu na wasioona kabisa, ikiwa ni hatua ya kuhakikisha kila mtu anafikiwa na huduma ya maarifa bila vikwazo.
Amesisitiza, “Maarifa yatokanayo na usomaji wa vitabu ni chakula cha nafsi. Vitabu ni tiba muhimu ya afya ya akili. Maarifa yanaunda jamii yenye nidhamu na mwanga wa fikra.”
Habari Picha 10406

You Might Also Like

Majaliwa Aagiza Kuimarishwa kwa Mafunzo ya Ufundi Stadi Nchini

Mazao Ya Mikunde Yatajwa Kuwa Na Kiwango Kikubwa Cha Protini

Samia Mgeni Rasmi Siku Ya Wanawake Jijini Arusha

Elimu ya Ufundi Yachangia Maendeleo ya Taifa – VETA

GST Yaelezea Mafanikio Yake

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Next Article Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
Viongozi Wa Dini Zote Wajifungie Kuomba,Kujadili Na Kutoa Mapendekezo-SAU
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?