MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kigae: Mwigulu Waziri Mkuu Mahiri
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kigae: Mwigulu Waziri Mkuu Mahiri
Habari

Kigae: Mwigulu Waziri Mkuu Mahiri

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: MBUNGE wa Mufindi Kaskazini, Exaud Kigae, amemtaja Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuwa ni miongoni mwa mawaziri mahiri nchini.
Aidha Nchemba ni kiongozi mwenye uwezo mkubwa katika chama, serikalini, na hata katika jamii kwa ujumla.
Amesema hayo leo Novemba 13, 2025 katika viwanja vya Bunge baada jina la Nchemba kuthibitishwa na wabunge.
Kigae amesema moja ya dalili za umahiri wa Waziri Mkuu huyo ni namna alivyohakikisha mipango ya maendeleo inatekelezwa kwa ufanisi tangu alipokuwa Waziri wa Fedha.
Ameongeza kuwa, kupitia usimamizi wake, mapato ya serikali yameongezeka na utekelezaji wa bajeti umeleta matokeo makubwa yaliyowezesha taifa kuona mafanikio ya kiuchumi.
“Kwa uwezo wake huo, tunaamini ataendelea kusimamia utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na miradi mbalimbali ya kimkakati.
“Hasa katika kipindi hiki ambapo serikali inalenga kuboresha miundombinu wezeshi na kukuza uchumi katika sekta mbalimbali,” amesema Kigae.
Aidha, amebainisha kuwa kuthibitishwa kwa jina la Dk. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu ni hatua sahihi, kwani ni miongoni mwa viongozi wanaoweza kusimamia dira ya taifa ya Tanzania ya 2050 na kuhakikisha utekelezaji wa Ilani ya CCM unafanyika ipasavyo.

You Might Also Like

Shirika La Uzalishaji Mali La Polisi Kujenga Vituo Vya Ukaguzi Wa Vyombo Vya Moto

Kisasa Design: Kampuni ya Kitanzania Inayobadilisha Sekta ya Interior Design na Utengenezaji wa Samani

Majaliwa Afurahishwa Na Ustadi Wa Vijana Wenye Ulemavu Veta

Mafunzo Yatolewa Katika Kongamano La Jotoardhi

Tume Ya Madini Kufuta  Leseni 40 Za Utafutaji Madini 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Chatanda: Rais Ametuletea Kiongozi Bora Atakayetusaidia Kutekeleza Ilani Ya CCM
Next Article ICGLR Yajipanga Kujiimarisha Amani Katika Kanda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Watendaji Wakuu Waagizwa Kuifanya Dira 2050 Kuwa Mwongozo Wa Maamuzi Yao
Habari July 24, 2026
Nchi za SADC Zahimizwa Kuimarisha Umoja Kukabili Changamoto
Uncategorized July 17, 2026
Wananchi Washauriwa Kutumia  Wataalam Wa Ujenzi Kuepuka Madhara
Habari July 14, 2026
July 14, 2026
Uncategorized July 14, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?