MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya
Habari

Serikali Kuja Na Mwongozo Wa Kuimarisha Ushirikishwaji Jamii Katika Masuala Ya Afya

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

WIZARA  ya Afya kwa kushirikiana na  Ofisi ya Rais- TAMISEMI  pamoja na wadau mbalimbali iko mbioni kukamilisha Mwongozo wa Kitaifa wa Uhamasishaji Jamii.

Akizungumza katika kikao kazi cha kupitia Mwongozo huo Dar es Salaam, Mkurugenzi Msaidizi wa Elimu ya Afya kwa Umma kutoka Wizara ya Afya  Dkt. Ona Machangu amesema lengo la kikao hicho ni kuhakikisha kunakuwa na mwongozo wa kitaifa utakaorahisisha ushirikishwaji wa Makundi mbalimbali katika  jamii  ili kuimarisha uwajibikaji,  uwazi na ushiriki wa jamii katika kukinga,  kulinda na kuboresha afya zao.

Habari Picha 10137

 

“Kupitia Mwongozo huu  tunaendelea kujenga jamii yenye afya bora, inayoshiriki kikamilifu katika maendeleo ya endelevu katika huduma za afya, lishe na ustawi wa jamii ili kufikia Dira ya Taifa 2050,” amesema Dkt. Machangu.

Aidha, Dkt. Machangu amesema Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii wamekuwa na mchango mkubwa katika utekelezaji wa mipango  mbalimbali ya Afya ikiwemo Mpango wa Taifa wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii, Malaria, Mpango wa  Kudhibiti UKIMWI na Mpango wa Taifa wa Magonjwa Yaliyokuwa hayapewi Kipaumbele.

Habari Picha 10138

Kikao hicho kimeratibiwa na Wizara ya Afya,  kwa kushirikiana na Ofisi ya Rais TAMISEMI, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu pamoja na wadau wakiwemo  Shirika la Afya DUNIANI( WHO), Shirika la Kuhudumia Watoto Duniani(UNICEF), Amref Tanzania, Action Against Hunger, SIKIKA na Tanzania Red Cross Society.

 

You Might Also Like

SUA Chatumia Ngamia Mafunzo Ya Vitendo Kwa Wanafunzi

TIB Yaanda Mkakati Kabambe Wanawake Kuchangamkia Fursa

TPHPA Tuna Mchango Mkubwa Katika Utoshelevu Wa Chakula – Ndunguru

NSSF Kutekeleza Mradi Wa Uwekezaji Wa Jengo La Kitega Uchumi Dodoma

Muswada kuja wa Watumishi Wanaofanya Kazi Eneo Zaidi ya Moja Kuanza kuchangiwa na Waajiri Wote

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUGHE Yatoa Wito Kwa Wafanyakazi Kujitokeza Kupiga Kura
Next Article CWT Yatoa Wito Kwa Walimu Kujitokeza Kupiga Kura Oktoba 29 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Uwekezaji wa Vijana Watajwa Chachu ya Ukuaji wa Uchumi
Habari June 29, 2026
Tanzania Yaendelea Kuimarisha Usalama Na Ulinzi Wa Taarifa Binafsi
Habari June 29, 2026
WCF Yapigia Debe Ushirikiano na Teknolojia Kuimarisha Hifadhi ya Jamii
Habari June 28, 2026
Sabasaba 2026 Kuingiza Teknolojia Mpya na Fursa za Uwekezaji
Habari June 27, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?