MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI
Habari

Madaktari Kutoka Ireland Watoa Matibabu Ya Mifupa Kwa Watoto MOI

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: JOPO la madaktari bingwa wa mifupa, ganzi na wauguzi kutoka Ireland limewasili nchini na kuanza kambi maalum ya siku nne ya matibabu ya mifupa kwa watoto katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI).
Kambi hiyo, inayoendeshwa kwa ushirikiano na madaktari wa MOI, inalenga kuwahudumia watoto wenye miguu iliyopinda, miguu mifupi, matege na mivunjiko ya mifupa.
Habari Picha 10076
Akizungumza wakati wa kuwapokea madaktari hao, Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Dkt. Mpoki Ulisubisya, amesema ushirikiano huo na hospitali ya Children’s Health Ireland ya Dublin umeendelea kwa zaidi ya miaka minne, na umechangia kupunguza rufaa za wagonjwa kwenda kutibiwa nje ya nchi.
“Tunashirikiana nao kutoa matibabu ya kibingwa kwa watoto wenye matatizo ya mifupa na pia kujengeana uwezo katika huduma za kibobezi,” amesema Dkt. Mpoki.
Ameongeza kuwa MOI inapanga kuanzisha huduma ya tiba mtandao  ili kuwawezesha wagonjwa kupata matibabu kutoka kwa madaktari bingwa bila kusafiri umbali mrefu.
Kwa upande wake, Dkt. Paula Kelly, bingwa wa mifupa kwa watoto kutoka Ireland, amesema kambi hizo zimekuwa zikisaidia kubadilishana uzoefu na teknolojia za kisasa katika matibabu ya mifupa.
Naye Dkt. Bryson Mcharo, Mkuu wa Kitengo cha Matibabu ya Mifupa kwa Watoto MOI, amesema wagonjwa wote wanapimwa na wale wanaohitaji matibabu zaidi watafanyiwa upasuaji kwa kutumia kifaa maalum cha kisasa cha Taylor Spatial Frame (TSF) kinachotumika kunyoosha miguu na kurekebisha urefu wa mifupa.
Habari Picha 10077

You Might Also Like

Limeni mkonge unalipa – Maghali

CHAUMMA Kuunda Mamlaka ya Mazao ya Kimkakati – Salum Mwalim

Madereva Mabasi YA Kukodi Waitwa LATRA Kabla YA Januari 12, Mwaka Huu

Majaliwa Afanya Harambee Ya Mei Mosi 2025

Ridhiwani Ashiriki Mazishi Ya Mwenyekiti SHIVYAWATA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mwalim: Nikichaguliwa urais, Kigaila atakuwa Waziri Mkuu wangu
Next Article Tanzania Na Africa50 Wazidi Kuimarisha Ushirikiano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?