MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane
Habari

Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Profesa Riziki Shemdoe amekagua huduma zinazotolewa na Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania ( TVLA), katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Uvuvi Jijini Dodoma na kuridhika nazo.
Profesa Shemdoe amekagua huduma hizo alipotembelea taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa lengo la kujiridhisha na huduma zitakazotolewa kwa Wafugaji, Wavuvi na wadau mbalimbali watakaotembelea Maonesho hayo.
Huduma zilizokaguliwa na Katibu Mkuu huyo  kwenye banda la TVLA ni pamoja na elimu ya uchunguzi wa Magonjwa ya Wanyama, elimu ya matumizi sahihi ya Chanjo za Mifugo na elimu ya uhakiki wa ubora wa vyakula vya Mifugo,.
Pia elimu ya usajili na uhakiki wa ubora wa viuatilifu vya Mifugo, elimu ya utafiti wa magonjwa ya wanyama pamoja na elimu kuhusiana na mafunzo kwa wataalamu wa Mifugo inayotolewa na TVLA.
Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania inashiriki Maonesho ya Nanenane kwa lengo la kutoa elimu ya huduma bora za maabara za Veterinari, kutoa elimu ya utafiti juu ya magonjwa ya wanyama na wadudu waenezao magonjwa hayo ndani na nje ya Tanzania.

You Might Also Like

Watakiwa kufanya utafiti kubaini chanzo cha makosa ya walimu

Chalamila Asema Serikali Inafanyia Kazi Changamoto, Mradi Wa Mabasi Yaendayo Haraka

Kameta awaasa watanzania kutonunuliwa  kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mtaa, Mkuu

TRAWU yapigania mkataba hali bora za kazi miaka 11 sasa

Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRA: Serikali imemgusa mkulima kupitia mabadiliko ya sheria
Next Article Umka yawashauri wakulima kutumia mbolea yake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?