MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Zena Ahmed Said Aitaka NSSF Kuimarisha Uhamasishaji wa Uwekezaji kwa Umma
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Zena Ahmed Said Aitaka NSSF Kuimarisha Uhamasishaji wa Uwekezaji kwa Umma
Habari

Zena Ahmed Said Aitaka NSSF Kuimarisha Uhamasishaji wa Uwekezaji kwa Umma

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
GEITA: KATIBU Mkuu Kiongozi na Katibu wa Baraza la Mapinduzi, Zena Ahmed Said, ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa juhudi zao za kuwafikia wananchi kupitia huduma za kimtandao, ikiwemo wale wasio na simu janja.
Akizungumza wakati wa ziara yake mkoani Geita, Zena amesema bado kuna idadi kubwa ya Watanzania wasiofahamu umuhimu wa kuwekeza katika mifuko ya serikali, hivyo ni jukumu la NSSF kuendelea kuwaelimisha na kuwahamasisha kuhusu fursa hizo.
Habari Picha 9686
“Watakapowekeza katika mifuko yenu, mtawapa pia elimu ya uwekezaji. Nimefurahishwa na namna mnavyowafikia hata wale wasio na simu janja, maana bado wengi hawana vifaa hivyo. Kukosekana kwa njia mbadala ya kuwafikia kunawafanya waonekane kama wametengwa, lakini ninyi mmeamua kuwafuata popote walipo,” amesema Zena.
Kwa upande wake, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa NSSF,Lulu Mengele, , amesema mfuko huo unatoa huduma kwa wananchi walioko kwenye sekta binafsi pamoja na wale walioajiriwa, wakiwemo wafanyakazi wa sekta ya madini.
Ameongeza kuwa katika banda lao mkoani Geita, NSSF inatoa huduma mbalimbali na kushirikiana kwa karibu na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Habari Picha 9687
Mengele amebainisha pia kuwa kutokana na mabadiliko ya kisheria yaliyofanyika mwaka 2018, NSSF kwa sasa haina ushindani wa moja kwa moja katika sekta ya hifadhi ya jamii, kwani wafanyakazi wote wa upande wa Tanzania Bara wanachangia NSSF, huku upande wa Zanzibar wakiwa chini ya ZSSF.
Akizungumzia utendaji wa mfuko huo, amesema kuwa thamani ya NSSF iliongezeka kutoka Sh. trilioni 4.8 wakati Serikali ya awamu ya sita ilipoingia madarakani, hadi kufikia trilioni 9.9 kufikia mwezi Juni, 2025.

You Might Also Like

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Tanzania Kujenga Kiwanda Kikubwa cha Mbolea kwa Ushirikiano na Zambia

Wakulima wafunzwa kuhusu mlipuko wa panya TPHPA

Ridhiwani Aipongeza Mahakama Kuzingatia Ajira Kwa Wenye Ulemavu

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TFS Yashiriki Maonesho ya Nane ya Madini Geita
Next Article Rais Samia Ni Mama Wa Maendeleo – Majaliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?