MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri
Habari

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu,  Ridhiwani Kikwete, amewataka watumishi wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) kuongeza nguvu katika kusajili waajiri.
Pia kuhakikisha kwamba wanawasilisha michango ya watumishi wao kwa wakati ili kuwezesha watumishi hao kupata haki yao kwa wakati endapo  watapata ajali, kuumia, ugonjwa au kifo kutokana na kazi zao.
Ridhiwani ameyasema hayo jijini Dar es Salaam wakati wa kikao kazi baina yake na watumishi wa WCF kwa lengo la kujadili na kuelekezana namna bora ya kuboresha utendaji kazi.
“Natambua kuwa hadi sasa WCF imesajili asilimia 93.7 ya waajiri wote nchini, lakini hiyo haitoshi na ninaitaka menejimenti ihakikishe kwamba waajiri wote wanasajiliwa hadi kufikia asilimia 100 na wanawasilisha michango yao kwa wakati.
“Na katika hili ninawahimiza watumishi wote muwajibike kutekeleza jambo hili, kwa kuwa ndio msingi mkuu utakaosaidia kulipa fidia kwa wafanyakazi watakaopata ugonjwa, ajali au kufariki wakati wakitekeleza majukumu ya kazi,”amesema.
Ridhiwani pia ameiagiza Menejimenti ya WCF kuhakikisha inafanya uwekezaji katika maeneo yenye tija yatakayosaidia kuuongezea Mfuko uwezo wa kumudu kulipa fidia hususani katika maeneo ya hatifungani ambayo ni salama zaidi.
“Uwekezaji ni sehemu ya jukumu muhimu la WCF, na ili kuhakikisha eneo hili linakuwa na tija, basi mnapofikiria njia ya uwekezaji fikirieni maeneo yaliyo salama ili kuuwezesha Mfuko kumudu jukumu lake la msingi ambalo ni kulipa fidia kwa wafanyakazi wanaopata madhila kazini,’’ amesema.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa WCF, Dkt. John Mduma amesema kuwa Menejimenti imepokea maelekezo ya Waziri Ridhiwani na kwamba watumishi wataongeza kasi ya uwajibikaji ili kutekeleza maagizo hayo.
“Tumepokea maelekezo ya Mheshimiwa Waziri ambaye ametutaka kuongeza kasi katika usajili wa waajiri na ukusanyaji wa michango, jambo hili tumelipokea na tutalifanyia kazi,’’ amesema Dkt. Mduma.
Akitoa salamu za shukrani mwakilishi wa wafanyakazi wa WCF, Musa Mwambujule amemshukuru Waziri Ridhiwani kwa kutembelea na kuwasilkiliza wafanyakazi, jambo ambalo limeonesha serikali inavyothamini

You Might Also Like

Kamati Ya Bunge Yakunwa Na TEA 

Uchaguzi Serikali Ya Mitaa kufanyika Novemba 27

Tanzania, Uingereza Kushirikiana Kuendeleza madini.

Profesa Nombo Azindua Miongozo Ya Usimamizi Ya Utafiti, Ubunifu COSTECH

TIC Yapaa Kiuchumi Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article OUT Yasaini Mkataba Ujenzi Wa Maabara Tatu Za Sayansi
Next Article Baraza La Wafanyakazi Ni Kama Bunge – Magoiga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?