MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH
Habari

Wagonjwa Wenye Maumivu Makali Kupatiwa Tiba Radiolojia MNH

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

MATIBABU ya wagonjwa wenye maumivu makali mwilini yatafanyika katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kupitia tiba radiolojia itakayoongozwa na Daktari Bingwa Mbobezi wa matibabu hayo duniani Profesa David Prologo kutoka Emory Health Care Marekani.

Taarifa kutoka MNH imeeleza tiba hiyo kuwa ni matibabu ambayo daktari bingwa hutumia teknolojia ya picha za uchunguzi za kumuongoza kufanya uchunguzi au tiba kupitia matundu madogo mwilini bila kufanya upasuaji.

Kupitia taarifa hiyo, Daktari Bingwa Mbobezi wa Tiba Radiolojia MNH, Erick Mbuguje amesema kambi hiyo itahusisha matibabu ya wagonjwa wenye maumivu makali ya aina zote yaliyogawanyika katika makundi makuu mawili, yakiwemo maumivu ya mgongo na maumivu ya sehemu nyingine za mwili.

Dkt. Mbuguje amesema kundi la kwanza ni wagonjwa wenye maumivu makali ya mgongo yasiyosababishwa na saratani  ikiwemo pingili zilizosagika, kuvunjika au kupukutika ambapo matibabu ya maumivu hayo hayahusishi upasuaji.

Pia diski zinazokandamiza mishipa ya fahamu hivyo maumivu kusambaa sehemu za miguuni ambayo hayatibiki kwa upasuaji na wagonjwa wenye maumivu yatokanayo na maungio ya pingili.

Amesema kwa wagonjwa wenye maumivu ya mgongo yatokanayo na saratani iliyosababisha kuvunjika kwa pingili au kubana kwa mishipa ya fahamu nao watahudumiwa.

Ametaja kundi la pili kuwa ni wagonjwa wenye maumivu makali ya viungo vingine vya mwili ambayo hayajasababishwa na saratani kwenye magoti, mabega, nyonga ambayo matibabu ya maumivu hayo hayaondolewi kwa njia ya upasuaji na kuongeza kuwa katika kundi hilo wenye maumivu mengine yatokanayo na saratani mbalimbali mfano kongosho nao watanufaika na huduma hiyo.

Huduma hizo zitafanyika Novemba nne hadi 15, 2024 katika Idara ya Radiolojia iliyopo karibu na jengo la Utawala katika hospitali hiyo.

MNH inashirikiana na Taasisi ya ROAD2IR ya nchini Marekani  kufanya kambi maalum ya uchunguzi na matibabu kwa wagonjwa hao.

 

You Might Also Like

Mwenyekiti wa CCM ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassan, kuongoza Kamati Kuu Maalum kesho

ALAT Kujadili Ripoti Ya CAG

Ridhiwani Apongeza Kurudi Kwa Gazeti La Mfanyakazi TANZANIA

Baraza La Wafanyakazi Ni Kama Bunge – Magoiga

Watumishi wa Umma wafahamu haki ya rufaa Kwa mujibu wa sheria

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRAWU Yazindua KAMPENI ya Afya Na Usalama Mahali Pa Kazi
Next Article Spika Ahoji Mwongozo Wa Wanaojitolea Kazin
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Madaktari Toka China Waleta Matumaini Barani Afrika
Makala May 16, 2025
Maziwa Kukuza Uchumi Wa Wafugaji
Habari May 16, 2025
Wizara Ya Madini Kununua Chopa, Kufanya Utafiti
Habari May 15, 2025
Serikali Kupeleka Umeme Maeneo Ya Kimkakati
Habari May 15, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?