MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA
Habari

Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
SHRIKA la CVM kwa kushirikiana na Mamlaka Ya Ufundi Stad nchini (VETA)  kwa ufadhili wa Serikali Ya Italy  wametoa mafunzo kwa wafanyakazi wa maju mbani wapatao 700 tangu kuanza kwa mtaala  wa wafanyakazi wa majumbani uliozinduliwa April ,mwaka jana .
Mtaalam wa masuala ya jinsia Maria Shimba amesema hayo wakati akizungumza na gazeti la MFANYAKAZI katika banda la VETA kwenye maonesho ya 49 ya biashara ya kimataifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema wafanyakazi hao tayari wamesoma  masomo mbalimbali ikiwemo namna ya kuandaa chakula namna ya kuwajali watoto na wazee na wa Sasa  wako kwa waajiri wao.
Ameyataja masomo mengine waliyosoma kuwa ni pamoja na ujuzi wa kimaisha,usalama jikoni,usafi,uvumilivu,huduma kwa wateja pamoja na haki za kazi.
Amesema kupitia maonesho hayo wako katika maonesho hayo kwa ajili ya kuhamasisha  kuhusu mtaala huo kwa watanzania ili kujua kuwa zipo kozi mbalimbali  zinazotolewa kwa wafanyakazi wa majumbani ikiwemo ya mwezi mmoja,mitatu hadi sita.
Amesema mafunzo hayo yanatolewa katika vyuo sita vya VETA vya Tanzania Bara na Zanzibar ikiwemo vyuo vya Chang’ombe, Dodoma,Lindi,Tanga,Iringa na Mikumi.
Amesema kwa upande wa Zanzibar mafunzo yanatolewa katika chuo cha VETA cha Mkokotoni,Makindudi na Daya Pemba na mwanafunzi akihitimu anapewa cheti cha ubobezi wa kazi za majumbani.
Maria amesema wanatumia maonesho ya sabasaba kuelezea kuhusu mtaala huo i ambao ni msaada wa kupunguza madhila kwa wafanyakazi wa majumbani pamoja na kupokea  ujuzi.

You Might Also Like

Miradi Ufungaji Mifumo Ya Umeme Jua 20,000 Mbioni Kuanza

Programu Ya Samia Extended Scholarship Yazinduliwa

Mamlaka Ya Elimu Tanzania Yaimarisha Ushirikiano Na Wadau Wa Maendeleo Ya Elimu

WCF Yaleta Utulivu Mahala Pa Kazi – Katambi

Stamico Yapewa Tuzo Na FDH Kujali Wenye Ulemavu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena
Next Article VETA Shinyanga Yatumia Kompyuta Kubuni Bidhaa 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?