MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vyama Vya Wafanyakazi Himizeni Na Kufundisha  Amani Ya Nchi Kuelekea Uchaguzi Mkuu -Ridhiwan
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Vyama Vya Wafanyakazi Himizeni Na Kufundisha  Amani Ya Nchi Kuelekea Uchaguzi Mkuu -Ridhiwan
Habari

Vyama Vya Wafanyakazi Himizeni Na Kufundisha  Amani Ya Nchi Kuelekea Uchaguzi Mkuu -Ridhiwan

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Lucy Lyatuu
WAZIRI Wa Nchi,Ofisi Ya Waziri Mkuu,Kazi,Ajira,Vijana Na Wenye Ulemavu Ridhiwan Kikwete amewataka Wafanyakazi nchini kushiriki Uchaguzi Mkuu huku wakiendelea kuamini amani na mshikamano  wa nchi ni jambo muhimu kuliko yote.
Ridhiwan amesema hayo jijini Arusha wakati akizindua jengo jipya la Kisasa la biashara la TUCTA-OTTU linalomilikiwa na Shirikisho La Vyama Vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA).
Habari Picha 8977
Amewataka viongozi wa Vyama Vya Wafanyakazi nchini kuendelea Kuhimiza na Kufundisha amani ya nchi kwa kuwa hakuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania.
“Wafanyakazi wa Tanzania ni wadau muhimu kushiriki uchaguzi,” amesema na kuongeza kuwa anatambua kuwa wapo Wafanyakazi kulingana na nyadhifa zao wamegombea nafasi mbalimbali hivyo anawatia moyo kuendelea kupambana kwa kuwa hata mbuyu ulianza kama mchicha.
Amesema pamoja na waliogombea wapo waliofanikiwa ambapo wanatakiwa kujua kuwa mafanikio yao ni msingi uliojengwa na vyama vyao.
Habari Picha 8991
Ridhiwan amewataka kutambua kuwa wanaokuwa katika nafasi mbalimbali za uongozi wasiwasahau wenzao.
” Muendelee kuwashika mkono kama ambavyo serikali ya awamu ya sita inavyotambua ujenzi Wa Nchi ni pamoja na mchango mzuri Wa TUCTA katika kuhakikisha mambo mazuri yanakwenda,”  amesema

You Might Also Like

October 2, 2024

Vyuo vya Kilimo vishirikishwe mradi wa BBT

Mwanafunzi UDSM Aja Na Nyama Ya Mimea

Wahitimu Kidato IV 2024, Washauriwa Kubadili Machaguo Ya Tahasusi

Wenye Ulemavu Wa Ngozi Wakumbukwa Kupitia FDH, Wapewa Msaada Wa Milioni 20

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article JOWUTA Yapokea Cheti Kwenye Uzinduzi Wa Jengo La Biashara TUCTA
Next Article Umoja, Mshikamano Vyatawala Mkutano Wa SADC
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?