MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vinasaba 524 Vimepimwa Kwa Mkemia Mkuu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Uncategorized > Vinasaba 524 Vimepimwa Kwa Mkemia Mkuu
Uncategorized

Vinasaba 524 Vimepimwa Kwa Mkemia Mkuu

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: MAMLAKA ya Mkemia Mkuu wa Serikali, imepokea majarida jinai ya kupima vinasaba 524 kwa mwaka mmoja, ambayo kipimo kimoja kinagharimu Sh laki moja.
Akitoa taarifa ya mafanikio kwa miaka minne ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Mkemia  Mkuu wa Serikali, Dkt. Fedelice Mafumiko amesema  ufunguaji wa majarida jinai hayo, inaonesha ni namna gani wananchi wamekuwa na uelewa wa kupima vinasaba.
Pia amesema mamlaka hiyo imepata wito wa kusaidia kutoa ushahidi wa kimahakama 6986.
 Amesema mafanikio hayo yanatoka na utendaji kazi wa ushirikiano na watendaji wa Mamlaka husika katika kufikia lengo la utoaji huduma bora kwa jamii.
Ndani ya miaka minne ya Serikali ya Awamu ya Sita,
Mamlaka hiyo mefanikiwa kujenga jengo la makao Makuu lililopo Jijini Dodoma na hadi kukamilika kweke limegharimu Sh.  Bilioni 8.14
Pia amesema kuwa Mamlaka imefanikiwa kujenga maabara za kikanda na kujenga nyumba za watumishi mipakani.

You Might Also Like

Trilioni 1.2 kuboresha miundombinu Mkoa wa Dar es Salaam

Tanzania yang’ara miradi ya Kinywe

Wasira akipongeza Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere  kwa kuenzi Falsafa za Baba wa Taifa

Rais Mwinyi aipongeza Airpay kudhamini tamasha la fahari ya Zanzibar, kusaidia wananchi kupata mikopo kidigitali

Dkt Biteko Ahimiza Watanzania Kupiga Kura Novemba 27,2024

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wajumbe IPA Zanzibar Wafanya Ziara TEA
Next Article Dkt. Tumbo Aitaka Jamii Kuelimishwa Namna Bora Ya Kuhifadhi Taka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?