MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Vijana Wahimizwa Kushiriki Kikamilifu Soko Huru la Afrika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Vijana Wahimizwa Kushiriki Kikamilifu Soko Huru la Afrika
Habari

Vijana Wahimizwa Kushiriki Kikamilifu Soko Huru la Afrika

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Lyatuu

BARAZA la Biashara la Afrika Mashariki (EABC) limebainisha   mazao ya  parachichi, kakao, kahawa, mafuta

mazao ya kilimo cha bustani, ngozi, na viungo, kuwa ni moja ya bidhaa muhimu zinazoweza kuongeza ufanyaji  biashara  ndani ya soko Huru la Afrika (AfCTA).

Meneja Biashara ya Bidhaa kutoka EABC Frank Daffa amesema hayo leo Dar es Salaam  Kwa niaba ya Mtendaji Mkuu wa EABC,Adria Njau katika ufunguzi wa mafunzo kwa vijana namna ya kushiriki katika soko la AfCTA.

 

Amesema mpango huo wa mafunzo ni sehemu ya ushirikiano mpana kati ya EABC na  Kituo Cha Kitaifa Cha Biashara (ITC)  ili kuboresha ufikiaji wa soko na

ushindani kwa zaidi ya wajasiriamali  vijana milioni  400 (MSMEs,) wanawake, na vijana katika minyororo ya thamani ya kikanda.

“Kwa pamoja, tunalenga kujenga ujuzi na uwezo wa

wajasiriamali, kuwawezesha kustawi chini ya soko la

Eneo Huru la Biashara la Bara (AfCFTA),” amesema na kuhimiza vijana kuchangamkia soko hilo.

Amesema  mafunzo hayo yanasaidia kuwa na mfumo wa ubora wa biashara wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) .

Amesema mafunzo yanalenga kuwawezesha vijana kuwa na  maarifa na ujuzi wa namna ya kufanya biashara chini ya soko la  AfCFTA.

Amesema pamoja na kuanza kwa biashara isiyo na ushuru chini ya AfCFTA Januari 2021, kuna haja ya kuunda upya mazingira ya biashara ya Afrika.

Njau amesema kwa mujibu wa takwimu za kibenki inaelezwa kuwa utekelezaji kamili wa AfCFTA unaweza kuimarisha mapato ya kikanda kwa dola bilioni 450 na kuinua  watu milioni 30 kutoka katika umaskini uliokithiri ifikapo 2035.

Hata hivyo, amesema ni lazima kushughulikia vikwazo virokanavyo na uwezo mdogo wa kufanya biashara Kwa vijana.

Amesema Vijana milioni 400 wa Afrika ndio uti wa mgongo wa uchumi na ufunguo wa kufungua uwezo kamili wa AfCFTA.

Kwa upande wake Mwakilishi kutoka ITC, Richard Adu Gyamfi amesemaafunzo Kwa vijana yanasaidia kuwa washindani katika soko na kufahamu bidhaa zilizopo kwenye minyororo wa uhitaji.

” Umuhimu wa mafunzo ni kuwezesha vijana kulijua soko,bidhaa zinazotakiwa na ubora wake lakini pia kuwa na taarifa kamili namna ya kufikia huko,” amesema

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

You Might Also Like

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’

Chalamila Asema Serikali Inafanyia Kazi Changamoto, Mradi Wa Mabasi Yaendayo Haraka

TRA: Serikali imemgusa mkulima kupitia mabadiliko ya sheria

Rais Samia Aungwe Mkono Ajenda Ya Nishati Safi Ya Kupikia-Makongoro Nyerere

Tulia Atoa Taarifa Kifo Cha Ndugai

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Silaa: Akili Mnemba, Roboti kuongeza ufanisi,ubunifu 
Next Article Serikali Yaweka Mkazo Kukuza Tasnia Ya Ufugaji Wa Kuku
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama
Habari August 6, 2025
Bundi Wasaidia Kupambana na Panya: Teknolojia Asilia Inayobadili Maisha ya Wakulima
Habari August 6, 2025
Ofisa wa TARI Kuwapo Kila Kituo cha Umwagiliaji – Naibu Katibu Mkuu
Habari August 6, 2025
Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?