MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani
Habari

VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MKUFUNZI kutoka Chuo cha Ufundi Stadi (VETA), Mkoani Mtwara, Fadhila Kusaga amesema chuo hicho kinawafundisha wanafunzi namna ya kuongeza thamani kwenye bidhaa mbalimbali ikiwemo korosho na zao la mwani.
Kusaga amesema hayo kwenye Banda la Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), katika maonesho ya Sabasaba yanayoendelea Mkoani Dar es Salaam.
Amesema wanamfundisha mwanafunzi kuanzia hatua ya uandaaji wa korosho kutokana na uhitaji wa wateja,  kisha wanaziweka kwenye vifungashio.
“Pia tunamfundisha mwanafunzi aweze kuji brand ili kuingia sokoni vizuri,” amesema.
Amesema wametengeneza siagi ya korosho baada ya kuona sokoni kwa muda kumekuwepo na siagi ya karanga.
“Sasa hivi kuna bidhaa ya siagi ya karanga, nasi tumetengeneza siagi ya korosho,” amesema.
Kwa upande mwingine amesema katika kuendeleza uchumi wa buluu  wamechukua mwani na kuusaga kisha wakapata unga ambao ni tibalishe nzuri inayosaidia matatizo ya viungo.
Amesema tibalishe hiyo pia inasaidia ukosefu wa usingizi, inaondoa stress, inatibu moyo pia inaongeza nguvu za kiume.

You Might Also Like

Waziri Mkuu Majaliwa ndani ya SGR

SEforALL Kuimarisha Ushirikiano Upatikanaji Nishati Endelevu

Kampeni ya Mama Samia imewafikia zaidi ya watu 4000 mikoa saba

Wakandarasi Miradi wa  TAZA Watakiwa Kukamilisha Kazi kwa Wakati 

Watanzania Tuendelee Kudumisha Amani-Dk Biteko

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Shinyanga Yatumia Kompyuta Kubuni Bidhaa 
Next Article Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario
Habari July 2, 2025
VETA Shinyanga Yatumia Kompyuta Kubuni Bidhaa 
Habari July 2, 2025
Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA
Habari July 2, 2025
Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena
Makala July 2, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?