MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba
Habari

VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: CHUO cha Ufundi Stadi (VETA), Kihonda mkoani Morogoro kimetengeneza mashine ya kusaga chumvi, kutoka kwenye mfumo wa mawe iwe kwenye chenga chenga ndogo ndogo.

Mkufunzi Mwandamizi wa Chuo hicho, Fredrick Uliki amesema hayo alipozungumza na Mfanyakazi Tanzania kuhusu changamoto inayowakabili wakulima wa chumvi, katika maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara yajulikanayo kama Sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam.

Urick amesema chuo hicho kimetengeneza mashine hiyo baada ya kubaini changamoto iliyokuwa ikiwakabili walimaji wa chumvi katika eneo la Bagamoyo Pwani na Lindi.

“Wanafunzi wetu walifika maeneo hayo wakakuta wakulima wengi wa chumvi hawana kifaa cha kuwarahisishia kusaga chumvi kutoka kwenye mfumo wa mawe iwe kwenye mfumo wa chenga ndogo ndogo ambazo tayari kwa ajili ya matumizi baada ya kuweka dawa ile ya madini joto.

“Kwa hiyo wanafunzi walivyofanya tafiti zao wakaja na mashine hii, na mashine hii sasa baada ya kuona kuna fursa sasa ya kibiashara ya kimataifa hapa tutapata watu wengi watakaohitaji huduma yetu,” amesema.

Amesema inawezekana maeneo mengine pia wana shida ya kusaga chumvi kama ilivyo hayo maeneo mawili, wakaweza kupanua wigo wa huo ubunifu na kuingiza kwenye biashara ili chuo kipate mapato ya kurejesha malighafi ambazo zimetengenezea mashine hiyo.

“Wajasiriamali wa chumvi wakisaga chumvi yao kwa kutumia mashine hii itawaongezea thamani, wataweza kufungasha katika ukubwa wowote na kuuza kwa bei ya juu zaidi, na ikakaa kwa namna ya usafi.

“Tunawakaribisha wajasiriamali hao wafike kwenye banda la VETA, wajionee walete familia zao waweze kusoma VETA,” amesema.

You Might Also Like

VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo

Majaliwa Ataka Wafanyakazi Waandaliwe Kwa Mabadiliko Ya Teknolojia

Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA

Mpango Awaalika SADC Kutuma Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi

Silinde Akabidhi Nyaraka za Kufungua Masoko Mapya Nje ya Nchi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Next Article TAWA Ni Mahali Sahihi Pa Uwekezaji  – Maganja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?