MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne
Habari

Ufaulu Umeongezeka Kwenye Natokeo Kidato Cha Nne

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: JUMLA ya watahiniwa wa Shule 477,262 kati ya 516,695 wenye matokeo ambao ni sawa na asilimia 92.37 wamefaulu kwa kupata Madaraja ya I, II, III na IV.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania, Dkt. Said Mohamed  amesema hayo  wakati akitoa taarifa ya matokeo ya mtihani wa Taifa wa kidato cha nne uliofanyika mwaka jana 2024.
Dkt. Mohamed amesema mwaka juzi 2023 watahiniwa

waliofaulu walikuwa 471,427 sawa na asilimia 89.36. Hivyo, ufaulu umeongezeka kwa asilimia 3.01.

“Kati ya watahiniwa 477,262 waliofaulu, Wasichana ni 249,078 sawa na asilimia 91.72 ya Wasichana wote wenye matokeo na Wavulana ni 228,184 sawa na asilimia 93.08 ya Wavulana wote wenye matokeo,” amesema.
Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegemea amesema, waliofaulu mtihani ni 15,703 sawa na asilimia 62.51.
“Mwaka 2023 Watahiniwa wa Kujitegemea 13,396

sawa na asilimia 52.44 walifaulu mtihani huo. Hivyo, ufaulu wa Watahiniwa wa Kujitegemea umepanda kwa asilimia 10.07 ikilinganishwa na mwaka 2023,” amesema.

Kuhusu usajili amesema Jumla ya watahiniwa 557,796 walisajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne wakiwemo Wasichana 296,051 ambao ni asilimia 53.08 na Wavulana 261,745 sawa na asilimia 46.92.
“Kati ya watahiniwa 557,796 waliosajiliwa, watahiniwa

wa Shule walikuwa 529,329 na watahiniwa wa Kujitegemea walikuwa 28,467,” amesema.

Amesema kati ya watahiniwa 529,329 wa Shule waliosajiliwa, watahiniwa 517,460 sawa na asilimia 97.76 walifanya mtihani ambapo Wasichana walikuwa
271,918 sawa na asilimia 97.54 ya Wasichana wote huku Wavulana wakiwa 245,542 sawa na asilimia 98.00.
Amesema watahiniwa 11,869 sawa na asilimia 2.24 hawakufanya Mtihani.
Kati ya watahiniwa 28,467 wa Kujitegemea waliosajiliwa,amesema  watahiniwa 25,151 sawa na asilimia 88.35 walifanya Mtihani na watahiniwa 3,316
sawa na asilimia 11.65 hawakufanya Mtihani.

You Might Also Like

Rais Samia akagua gwaride maalum

Tanzania yqpata dola bilioni 2.3 kwa kuuza matunda, kunde nje

TSB yaanzisha ‘special’ Mkonge BBT

Profesa Ndunguru: Mabadiliko Sekta ya Kilimo Yanaenda Sambamba na Uwekezaji Katika Utafiti

Chatanda: Rais Ametuletea Kiongozi Bora Atakayetusaidia Kutekeleza Ilani Ya CCM

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Watahiniwa 72 wa kidato cha nne wafutiwa mtihani kwa udanganyifu, kuandika lugha za matusi
Next Article Februari Mwaka Huu Wafanyabiashara Kariakoo Kurejea, Wenye Madeni Waagizwa Kulipa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Vitabu Vya Sauti Kuvutia Vijana, Serikali Yapongeza Ubunifu Wa Mkuki Na Nyota
Habari November 22, 2025
Ubora Wa E & D Vision Publishing Wamkuna Waziri Kabudi Maonyesho Ya Vitabu Dar
Habari November 22, 2025
Kabudi: Vitabu Ni Tiba, Atoa Wito Kuimarisha Maktaba, Uchapaji 
Habari November 22, 2025
Kwagila Awataka Wasimamizi Wa Elimu TAMISEMI Kuwajibika Kikamilifu
Habari November 21, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?