MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa
Habari

UDOM Yatumia Akili Mnemba Kugundua Dawa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: UTAFITI wa kutumia akili mnemba kwenye masuala ya magonjwa unaofanywa na Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), utawarahisishia watafiti kupata majawabu mbalimbali ya magonjwa yanayotokea katika jamii.

Mfanyakazi Tanzania imefika katika Banda la UDOM kwenye maonesho ya Sabasaba kwa mwaka huu 2025, na kujionea jinsi tafiti inayoitwa conizuroai.com inavyowezesha upatikanaji wa majawabu ya kugundua dawa.

Mtafiti kutoka UDOM, Jospeter Jonathan amesema nchini Tanzania kuna changamoto ya kukosekana kwa njia mbadala na wataalam wa kuifanya njia hiyo kuwa nyepesi ya kupata tiba ya dawa kwa ajili ya magonjwa tofauti.

“Baada ya kuona changamoto hiyo, tumefanya utafiti kupitia tafiti inayoitwa conizuroai.com itakayokuwa inamsaidia mtafiti ambaye anajihusisha na ugunduzi wa dawa kufanya process kwa njia rahisi na kwa njia nyepesi ikilinganishwa na njia zilizokuwepo ambazo zinahitaji muda mwingi sana, gharama na zinahitaji ujuzi mkubwa.

“Kwenye eneo la ujuzi, kuna wataalamu wengi nchini lakini wameweza kukosa njia zinazoweza kuwasaidia kwenye tafiti zao kama hiyo,” amesema.

Ameongeza kuwa utafiti huo unatumia akili mnemba kwa ajili ya kuwasaidia hao watafiti ugunduzi wa tiba ya magonjwa tofauti tofauti ambayo watapenda kudadisi na kuweza kuleta tiba yake.

“Kwa sasa inatumika na watafiti tofauti katika Chuo Kikuu cha Dodoma na kupitia nafasi ya kufika Sabasaba tunaendelea kupata watafiti mbalimbali wa taasisi mbalimbali ambao wanaupenda huo mfumo na wameanza kuutumia,” amesema.

Amesema mategemeo yao ndani ya mwaka mmoja au miwili watapata watafiti wengi ambao watapeleka mapendekezo ya tiba ya magonjwa tofauti na kuweza kuchagiza tiba mbadala za magonjwa hayo kwa njia rahisi na nyepesi.

You Might Also Like

Tanzania, Japan Kushirikiana Ukuzaji Ujuzi Kwa Vijana

Wananchi Wachukue Hatua Iwapo Hawajaridhika Na Huduma-TCF

Matumizi Holela Ya Vilevi Hatari Kwa Watumiaji

Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane

Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Utafiti Wa Roketi UDOM Uko Mbioni Kukamilika
Next Article TPHPA, MUCE Wasaini Hati Ya Makubaliano Maeneo Yanayogusa Sayansi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?