MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni
Habari

Twendeni Tukapige Kura Ya Ukombozi, CHAUMMA Yahitimisha Kampeni

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: MAMIA ya wananchi wamejitokeza katika viwanja vya Shule ya Msingi Tabata kuhitimisha kampeni za Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA).
Bila kujali mvua kubwa iliyonyesha kwa saa mbili mfululizo, wananchi hao wakiwa wamevalia sare za chama hicho na kubeba mabango yenye picha na jumbe mbalimbali za mgombea urais na wagombea ubunge wa majimbo ya Dar es Salaam, walijitokeza kwa wingi kusikiliza hotuba za viongozi wao.
Habari Picha 10208
Akizungumza na umati huo, Mgombea Urais wa CHAUMMA, Salum Mwalim, amewataka wananchi kupiga kura ya mabadiliko ili kujikomboa na maisha magumu.
“Twendeni tukapige kura ya mabadiliko ili tuyabadilishe maisha ya watumishi wa umma, wakulima, wafugaji na huduma bora za afya.
“Leo kila sekta inalia maisha magumu, hakuna aliye salama… vijana ndiyo kabisa, wanaomaliza shule hawana ajira wanaishia kuendesha bodaboda na kubeti huku mikeka inachanika,” amesema Mwalim.
Habari Picha 10209
Ameongeza kuwa, “Nendeni mkaniamini, mkanichague, nawakalilishia Watanzania amani.”
Mwalim amewashukuru Watanzania kwa kufanya kampeni za utulivu na amani, Jeshi la Polisi kwa kazi ya ulinzi na usalama, Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa ushirikiano wao, pamoja na timu yake nzima ya kampeni.

You Might Also Like

Mbunge Kuchauka azindua kambi kuhamasisha Uchaguzi Serikali za  Mitaa

Bajeti ya TUGHE 2025 Yaidhinishwa

Tanzania, UAE Kuimarisha Ushirikiano Wa Kibunge

Sheria  300 Zimetafsiriwa Kwa Lugha Ya Kiswahili

Asilimia 86.2 ya Wanawake  wanajishughulisha na shughuli za madini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Elimu Ya Nishati Safi Ya Kupikia Yawafikia Maofisa Dawati Ngazi Ya Mikoa Na Halmashauri
Next Article Kutofuata sheria chanzo kikuu cha migogoro ya kazi – CMA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?