MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kuipitia Sheria Ya Takwimu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kuipitia Sheria Ya Takwimu
Habari

Tume Ya Kurekebisha Sheria Tanzania Kuipitia Sheria Ya Takwimu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MOROGORO: SHERIA ya Takwimu imependekezwa ifanyiwe marekebisho ili iendane na mahitaji ya sasa, hali ya maendeleo ya kijamii, kiuchumi, na kisayansi nchini.
Katibu Mtendaji wa  Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania George Mandepo amesena kamisheni imekutana mkoani Morogoro kujadili utekelezaji wa kazi ya mapitio ya Sheria hiyo ya takwimu, ili kuiboresha kuifanya iendane na wakati uliopo .
Amesema sheria hiyo ni muhimu kwa sababu inasimamia uzalishaji, ukusanyaji na usambazaji wa takwimu rasmi nchini ikiwemo takwimu za kiutwala ambazo ni muhimu katika kupanga sera, kutathmini maendeleo, na kufanya maamuzi.
Amesema mapitio ya Sheria hiyo yamejumuisha viini mbalimbali vya utafiti kama vile uhuru wa taasisi katika kuzalisha na kusambaza takwimu ili kuhakikisha takwimu zinazokusanywa zinapatikana kwa urahisi na usahihi kwa watumiaji wote, ikiwemo watafiti, wawekezaji na wananchi.
“Maboresho ya sheria hii yatasaidia ulinzi wa faragha, usalama wa taarifa na uwajibikaji wa taasisi zinazokusanya takwimu ili kuimarisha ubora wake na uaminifu katika takwimu zinazozalishwa.
“Tume   imepewa jukumu la kufanya mapitio ya Sheria hiyo  ili kupendekeza maboresho kwa serikali.
“Tume ilifanya mapitio haya kwa njia ya utafiti pamoja na majadiliano na wadau mbalimbali,  ili kupata maoni yao kwa ajili ya kutoa mapendekezo ya kisheria na ya kiutawala  kwa serikali yatakayosaidia kuboresha Sheria husika,””amesema.
Amesema mapendekezo yaliyotolewa yataimarisha mifumo ya kisheria inayohusiana na ulinzi wa data binafsi, ili kuhakikisha kwamba taarifa za wananchi zinafichwa na kulindwa dhidi ya matumizi mabaya.
Amesema sheria hiyo itachangia uwezeshaji wa teknolojia na ubunifu kwa kuweka mazingira bora kwa matumizi ya teknolojia za kisasa katika ukusanyaji na uchambuzi wa takwimu.
Kwa kufanya mapitio hayo amesema sheria hiyo hapa nchini itakuwa na uwezo wa kusaidia maendeleo endelevu na kutoa taarifa sahihi kwa ajili ya uamuzi bora katika sekta mbalimbali za kiuchumi, kisiasa na kijamii.

You Might Also Like

Ulega: Miaka 50 ya ILRI imeinufaisha Tanzania 

Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Miaka 30 VETA

Trilioni 1.2 Kumaliza Tatizo la Maji Dar

Hali Ya Ulinzi Na Usalama Wa Mipaka Ni Salama

Serikali Sekta Binafsi Kuimarisha Huduma Za Fedha Nchini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Sababu Nne Zilizofanikisha Mafanikio Katika Uandikishaji
Next Article Maboresho Mfumo wa Sheria Zinazosimamia Uwekezaji Kuchochea Uwekezaji Nchini
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?