MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Habari

TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Mwandishi Wetu

SHIRIKISHO  la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) limetoa wito kwa Wafanyakazi wote nchini kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 kwenda kupiga kura ili kupata Viongozi watakaowaongoza kwa kipindi kingine cha miaka mitano ijayo.

Rais wa  TUCTA  Tumaini  Nyamhokya  ametoa wito huo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Arusha lengo likiwa ni kutoa hamasa pamoja na kuwakumbusha wafanyakazi kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi Mkuu ujao.

Habari Picha 10170

Amewataka Wanafanyakazi kujitokeza kwa wingi Oktoba 29, 2025 kwenda kupiga kura ili tuweze kuwachagua viongozi watakaojali maslahi ya Wafanyakazi.

“Narejea Kauli mbiu yetu ya Mei Mosi 2025, “Uchaguzi Mkuu wa 2025 utuletee viongozi wanaojali haki na maslahi ya maslahi ya Wafanyakazi, Sote Tushiriki’. Sasa ni wakati wa kwenda kutekeleza kwa vitendo kauli mbiu yetu ili tuhakikishe mika mitano ijayo mambo yetu yanaendelea kuwa safi. Shime sote tushiriki,” amesisitiza .

Habari Picha 10171

Katika hatua nyingine  Rais wa TUCTA ametumia mkutano huo kumshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi nzuri na utayari wake kuendelea kutatua changamoto mbalimbali za wafanyakazi na kuzipatia uzito hoja zao zinazowasilisha kwake kisha akataja kwa kifupi machache ambayo amewafanyia wafanyakazi katika kipindi cha uongozi wake.

Katika mkutano huo na wana habari Rais wa TUCTA ameambatana na Katibu Mkuu wa Shirikisho hilo la

Wafanyakazi Tanzania  Hery Mkunda pamoja na Wanachama kutoka Vyama Shiriki vinavyounda TUCTA waliopo katika Jiji la Arusha na mikoa jirani.

Habari Picha 10172

 

You Might Also Like

Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi Akutana na Katibu Mkuu CRC

Trilioni 1.2 Kumaliza Tatizo la Maji Dar

Maofisa Tarafa na Watendaji wa Kata Waaswa kuwa wabunifu

Rais Wa CWT Suleiman Ikomba Sasa Ni Daktari

VETA Dodoma Waleta Mashine Kurahisishia Upekechuaji Wa Alzeti

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga
Next Article Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Habari October 24, 2025
Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Habari October 24, 2025
Jeshi La Polisi Kufanya Ukaguzi Wa Hali Ya Juu Kwa Mashabiki Katika Mechi Za Simba Na Yanga
Habari October 24, 2025
Mgombea Urais Wa CCM, Dkt. Samia Aendelea Na Kampeni Temeke
Habari October 23, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?