MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRAWU Yapigania Wafanyakazi TAZARA Nyongeza Ya Mshahara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRAWU Yapigania Wafanyakazi TAZARA Nyongeza Ya Mshahara
Habari

TRAWU Yapigania Wafanyakazi TAZARA Nyongeza Ya Mshahara

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DAR ES SALAAM: CHAMA cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (TRAWU), kinajivunia kwa wafanyakazi wa Reli ya Tanzania na Zambia ( TAZARA), kuweza  kupata nyongeza ya mshahara tokea Julai mwaka hu, 2024.
Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Eddo Makata amesema hayo alipozungumza na Mwandishi wa Mfanyakazi Tanzania kuhusu mafanikio yaliyopatikana kwa mwaka huu 2024 katika chama hicho.
Amesema, ” Pia upande wa TAZARA tumekuwa na suala zima la kuweza kulilia nyongeza ya mshahara ambayo mfanyakazi wa TAZARA anaipata kwa sababu analipwa kwa dola.
” Kwa hiyo mwezi wa saba mwaka huu wafanyakazi wa TAZARA waliweza kupata nyongeza ambayo iliongeza kima cha chini na kila mfanyakazi aliweza kupata ile nyongeza.
“Kwa hiyo ni jambo tunajivunia kwa sababu tulipigania nyongeza ya mshahara ambayo inatokana na ‘exchange rate’  kwamba mfanyakazi wa TAZARA analipwa kwa dola na katika kulipwa huko kwa dola basi nyongeza yake inapatikana kwa makubaliano yale tuliyokubaliana.
” Na kwamba ikifika asilimia 20 ya dola kupanda  basi mfanyakazi huyu tutajadiliana namna ambayo anaweza akapandishwa mshahara wake kwa kutumia hiyo exchange rate,” amesema.
Amesema hayo yamefanyika kwa ushirikiano wa TRAWU na Chama cha Wafanyakazi Zambia.

You Might Also Like

Ndunguru: Mabadiliko Ya Tabianchi Yanachangia Kuwepo Kwa Magonjwa, Wadudu Kwenye Mazao

Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda

Asilimia 86.2 ya Wanawake  wanajishughulisha na shughuli za madini

Serikali Yaweka Mkazo Kukuza Tasnia Ya Ufugaji Wa Kuku

TAKUKURU, Manispaa Ubungo Yawafikia Waendesha Bajaji, Bodaboda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRAWU Kupambania Mkataba Wa Hali Bora Kwa Wafanyakazi
Next Article Vyama Vya Wafanyakazi Kujadili Hatma Ya Wafanyakazi TAZARA
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?