MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TRA: Serikali imemgusa mkulima kupitia mabadiliko ya sheria
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TRA: Serikali imemgusa mkulima kupitia mabadiliko ya sheria
Habari

TRA: Serikali imemgusa mkulima kupitia mabadiliko ya sheria

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi wetu
DODOMA: MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema katika mwaka huu wa fedha 2024/2025 serikali imefanya mabadiliko ya sheria mbalimbali ikiwemo ya kodi itakayoleta unafuu kwa wakulima.
Ofisa Mwandamizi Kodi wa Mamlaka ya Mapato(TRA),  Philip Eliamini amesema hayo katika Maonesho ya Wakulima, wafugaji na Uvuvi yajulikanayo kama 88 yanayoendelea Jijini Dodoma.
“Kwa upande  wa sheria za kodi kuna misamaha mbalimbali ya kodi ambayo inaenda kuleta unafuu mkubwa kwa wakulima.
“Tunawaomba wakulima waweze kutembelea banda la TRA wapate elimu ya misamaha ya kodi ambayo imepitishwa na bunge ili waweze kupata elimu hiyo na kujua zana ambazo zimesamehewa kodi,” amesema.
Amesema mabadiliko ya sheria ya mwaka jana yaliweka kipengele cha kila raia kuanzia miaka 18 na kuendelea anapaswa kuwa na namba ya utambulisho wa mlipa kodi.
Amesema TRA inatoa namba ya utambulisho wa mlipa kodi, kikubwa mtu awe na namba ya NIDA.
Vile vile wanatoa huduma ya makadirio ya kodi kwa mfanyabiashara ambaye bado hajakadiriwa makadirio ya kodi kwa mwaka huu wa fedha
Kwa upande mwingine amesema maonesho hayo yanatoa fursa kwa TRA ya kuonana na wananchi kwa ajili ya kuwapa elimu ya kikodi, usimamizi wa kodi lakini pia kupokea maoni na malalamiko ya wananchi yanayowawwzesha  kuboresha utendaji wao wa kila siku.
“Kwa hiyo tunasema maonesho haya ni fursa nzuri kwa wananchi kujifunza lakini pia ni fursa nzuri kwetu ambapo tunaweza kuonana na wadau wetu na tunawapa elimu ambayo itawasaidia katika shughuli zao.”amesema.

You Might Also Like

Vyombo vya Habari ni Kama Maji’ -Biteko 

Wagombea Wa CCM Dodoma Mjini Waanza Kujinadi kwa Wajumbe

REA Yapamba Moto Uhamasishaji Matumizi Ya Umeme

Serikali Kuendelea Kuboresha Sheria za Ulinzi wa Watoto

Ongezeni Uwajibikaji,Nidhamu, Utendaji Kazi – Bashungwa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia afurahia SGR
Next Article Shemdoe aridhika huduma zinazotolewa na TVLA nanenane
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?