MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA yafundisha namna sahihi ya utumiaji wa viuatilifu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA yafundisha namna sahihi ya utumiaji wa viuatilifu
Habari

TPHPA yafundisha namna sahihi ya utumiaji wa viuatilifu

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi

DODOMA: MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu  (TPHPA), inatoa elimu ya namna sahihi ya kutumia viuatilifu katika mashamba ya wakulima ili kuweza kudhibiti visumbufu vya mazao.
Aidha mamlaka hiyo inatoa maelekezo ya jinsi ya kujisajili kwa wale wanaotaka kuingia kwenye biashara ya viuatilifu.
Ofisa Mwandamizi wa Udhibiti wa Visumbufu kwa Njia ya Kemikali kutoka Kitengo cha Usimamizi wa Matumizi sahihi  ya Visumbufu, Edmund Luena amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea jijini Dodoma.
Luena amesema upande wa elimu ya matumizi sahihi ya viuatilifu hufundisha wakulima namna gani sahihi ya kufanya.
“Tunaposema matumizi sahihi ya viuatilifu huwa tunaanzia na utambuzi wa kiumbe anayeharibu mazao yakiwa shambani kwa mfano wadudu waharibifu, ndege, vimelea vya magonjwa, magugu au panya,”amesema.
Amesema katika maonesho hayo wapo kuelezea namna gani mkulima achukue hatua ili kudhibiti visumbufu.
“Tuna teknolojia ya kutumia njia tofauti na kemikali japo mamlaka inahusika na udhibiti wa biashara ya viuatilifu lakini pia tunatoa elimu ya njia nyingine tofauti  na kemikali kama njia za kibaolojia na utumiaji wa mitego,” amesema
Amesema kwa njia ya kutumia kemikali wanayo mabomba wanaelekeza wakulima namna gani wanaweza kutumia hayo mabomba kwa usahihi.
Amesema kosa likifanyika kwenye kile kifaa kinachotoa matone, kiuatilifu hakifanyi kazi kwa usahihi.
Amesema na bomba kama halitosis vizuri ile sumu , wanaelekeza namna gani ili lile bomba litoe mnyunyizo inavyotakiwa.

You Might Also Like

Rais Samia akagua gwaride maalum

Vyama Vya Wafanyakazi Kujadili Hatma Ya Wafanyakazi TAZARA

Wananchi Kutembea Mwendo Mrefu Kutokana Na Upungufu Wa Majengo

Wakulima Wa Zabibu Wakiri Bidhaa Zilizoongezwa Thamani Zina Soko

Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Marekebisho ya sheria huangalia mazingira ya sasa na yajayo – Tume
Next Article Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Waziri Mkuu Majaliwa Akabidhi Tuzo kwa BoT Geita
Habari September 22, 2025
BoT Yarahisisha Uuzaji wa Dhahabu kwa Wachimbaji, Yatoa Punguzo La Mrabaha
Habari September 22, 2025
Waziri Mkuu Apongeza Huduma Kidijitali za NSSF, Maonesho Ya Madini Geita
Habari September 22, 2025
Mkuu Wa Mkoa Shinyanga Asifu Kazi Ya Bodi Bima Ya Amana
Habari September 22, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?