MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TPHPA Yaelezea Vipaumbele Vyake
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TPHPA Yaelezea Vipaumbele Vyake
Habari

TPHPA Yaelezea Vipaumbele Vyake

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), Profesa Joseph Ndunguru ameelezea vipaumbele vya mamlaka hiyo kuwa ni kuwajengea uwezo wataalamu katika kusimamia udhibiti wavisumbufu.

Profesa Ndunguru ametaja vipaumbele hivyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Afya ya Mimea Mei 12, mwaka huu 2025 katika Viwanja vya Makumbusho ya Azimio La Arusha mkoani Arusha.

Pia ametaja vipaumbele vingine kuwa ni kuweka mifumo ya ufuatiliaji wa viashiria vya uwepo wa milipuko ya visumbufu.

Kuendelea kusimamia matumizi sahihi ya viuatilifu, pamoja na kuanzisha mfumo wa kufuatilia masalia ya viautilifu kwenye mazao yauzwayo kwenye masoko ya ndani.

Vile vile kuimarisha miundombinu ya ukaguzi mipakani kwa kuanzisha maabara ndogo kwenye mipaka 17, kufungua ofisi na maabara mkoa wa Njombe kwa ajili ya kuhudumia mazao ya kimkakati, hususan parachichi, viazi mviringo na mboga mboga.

Profesa amesema ikiwa ni pamoja na kuendelea kumarisha udhibiti wa visumbufu kwa njia ya kibailojia – viuatilifu hai, viumbe rafiki.

 

 

 

You Might Also Like

WCF Yatakiwa Kuongeza Nguvu Kusajili Waajiri

Wahandisi 428 Wajengewa Uwezo Kukuza Taaluma

Kampeni ya Mama Samia imewafikia zaidi ya watu 4000 mikoa saba

Tume ya Kurekebisha Sheria Yaelimisha Umma Kuhusu Haki za Wanyama

Tanzania, Ufini Kushirikiana Teknolojia Za Kisasa Sekta ya Misitu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TPHPA Tuna Mchango Mkubwa Katika Utoshelevu Wa Chakula – Ndunguru
Next Article Bodi Ya Wadhamini Ya NSSF Yaridhishwa Na Uwekezaji Wa Ubia Na Jeshi La Magereza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbunge Asisitiza Sheria za Majiko Safi Ili Kulinda Mazingira
Habari February 3, 2026
Mwalunenge: Bila Rasilimali Watu Na Mtaji, Mipango Ya Kilimo Haitafanikiwa
Habari February 3, 2026
Gulamali Ahoji Bungeni Changamoto ya Mawasiliano Ilongelo
Makala February 3, 2026
Serikali Yaendelea Kuimarisha Uhuru wa Mahakama – Nchimbi
Habari February 2, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?