MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara
Habari

TMDA Kudhibiti Bidhaa Za Tumbaku Ili Wananchi Wasiendelee Kupata Madhara

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Lyatuu
MAMLAKA ya Dawa Na Vifaa Tiba (TMDA) imesema kwa sasa inasimamia  masuala yote yanayohusu bidhaa za tumbaku Ili kuhakikisha wananchi wasiendelee Kupata madhara wanapotumia bidhaa hizo.
Mkurugenzi Mkuu Wa TMDA  Dk Adam Fimbo amesema hayo katika Banda la TMDA lililoko viwanja vya maonesho ya 49 ya Biashara Ya Kimaraifa maarufu kama sabasaba yanayoendelea Dar es Salaam.
Amesema ni jukumu la Mamlaka hiyo inafuatilia usalama Wa dawa kwenye masoko kwa maana dawa yoyote anayotumia mwanadamu haipaswi kuwa na madhara.
” TMDA jukumu lao ni kuhakikisha dawa hiyo inafanya kazi iliyokusudiwa kwa maana ya kutibu lakini sio kuleta madhara kwa binadamu,” amesema.
Amesema hivyo TMDA inafanya kazi kubwa ya kuweza kubaini madhara yoyote yanayoweza kujitokeza kwa watu.
Ameongeza kuwa pia Mamlaka inapima bidhaa za dawa kwenye maabara zilizopo nchini ambapo zimethibitishwa na Shirila La Afya Duniani (WHO) Ili Kufanya kazi ya kupima ubora Wa dawa kwenye Soko na kuruhusu zile tu ambazo zimekidhi viwango vilivyowekwa.
Amesema wako katika maonesho hayo ya sabasaba Ili kuelimisha watanzania kuhusu sekta ya Dawa Ili kulinda afya ya jamii.
“Majukumu Yetu ninkusajili dawa zinazoingia nchini na hakuna dawa inayoweza kuingia bila kusajiliwa na Mamlaka,” amesema na kuongeza kuwa usajili unahusisha Kufanya tathmini ya ubora,usalama na ufanisi ,” amesema.
Aidha amesema Mamlaka hiyo hufanya ukaguzi kwa dawa zilizosajiliwa ikiwa ni kwenye masoko,mipaka ya nchi, maduka ya Dawa,hospitalini na Kila eneo Ili kuhakikisha bidhaa inayofika kwa watanzania ni salama,bora na fanisi.

You Might Also Like

WCF yapongezwa kwa Ithibati ya ISO, utoaji wa huduma kwa viwango vya kimataifa

Silinde: Serikali bega kwa bega na wadau wa kilimo

RC Chalamila, Wasaidizi Wake Kukutana na Kadogosa Kuzungumzia Ujenzi Wa Reli Dar

Nchi Za SADC Zahimizwa Kutunza, Kulinda Amani

Bodi ya Bima ya Amana Yatoa  Bil 9.07 , Fidia Kwa Wateja Wa Benki Saba   Zilizofilisika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Dk Mwinyi Kukata Keki Sabasaba
Next Article TARI Yatikisa Sabasaba Na Mti Wa ‘Allspice’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mita  Janja Zazinduliwa,  Tanesco  Yatakiwa Kuzisambaza Nchi Nzima
Habari December 5, 2025
DIT Andaeni Taarifa  Itakayowezesha Wanafunzi Kupelekwa Nje Kujifunza-Mkenda
Habari December 5, 2025
Msama Aipongeza Hotuba Ya Samia, Atoa Neno Kwa Vijana, Wazee, Wanaharakati
Habari December 4, 2025
Profesa Silayo Aaga, Jawara Kuchukua Uongozi Mpya wa AFWC25
Habari December 3, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?