MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi
Habari

TEA Yawaalika Wananchi Kujifunza SDF Unavyofanya Kazi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read

– Pamoja Na Mfuko Wa Elimu Kwa Taifa

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Elimu Tanzania (TEA), imewaalika wananchi kutembelea banda lake kujifunza jinsi Mfuko wa Kuendeleza Ujuzi (SDF) pamoja na Mfuko wa Elimu kwa Taifa unavyofanya kazi kwa ajili ya ujenzi wa taifa na elimu nchini.

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano ba Mawasiliano kwa Umma wa mamlaka hiyo, Bestina Magutu ametoa wito huo katika Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea mkoani Dar es Salaam.

Akifafanua hilo amesema mfuko huo wa elimu kwa taifa kazi yake kubwa ni kutafuta rasilimali kwa maana ya fedha na vifaa, baada ya kutafuta zinapelekwa kwenye ujenzi wa miundombinu ya elimu kwa maana ya nyumba za walimu, matundu ya vyoo, mabwalo, madarasa na vifaa vingine vya elimu.

Amesema kazi ya SDF ni kutoa udhamini wa mafunzo kwa vijana na wanawake wa kitanzania ambayo yamegusa maeneo makuu sita.

Ametaja maeneo hayo kuwa ni ujenzi, uchukuzi, huduma za utalii pamoja na ukarimu, usindikaji wa bidhaa pamoja na kilimo.

“Katika maonesho haya tupo na wadau wawili ambao walipata huu udhamini wa mfuko wa SDF kwenye maeneo ya usindikaji wa chakula kwa maana ya viungo pamoja na kikimo cha uyoga.

” Wapo kwa ajili ya kuonesha namna gani ambayo wamepata mafunzo hayo na yamewanufaisha kwamba wanaweza kujitegemea wao wenyewe,” amesema.

You Might Also Like

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo

Kamati Ya Bunge Yakagua Mradi Wa Nyumba NSSF

Kadi za mpiga kura zenye jina la zamani la Tume ni halali

Masauni: Mapendekezo Ya Kulifanya NEMC Kuwa Mamlaka Yamepokelewa

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Wanufaika wa SDF Waeleza Mafaniko Waliyoyapata
Next Article VETA Kihonda Waja Na Mashine Ya Kusaga Chumvi Sabasaba
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?