MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin
Habari

Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA inashiriki katika Kongamano la Afya la Dunia linalofanyika kwa siku tatu jijini Berlin, Ujerumani lililoanza Oktoba 12 hadi 14,  mwaka huu 2025.
Aidha ujumbe kutoka Tanzania umeongozwa na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Ismail Rumatila.
Habari Picha 9939
Taarifa imesema Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani,  Hassani Mwamweta, naye ameshiriki kongamano hilo linalofanyika lenye kaulimbiu ‘Kuchukua Jukumu la Afya katika Ulimwengu unaogawanyika’.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo Kongamano hilo limekusanya watu wa kada mbalimbali duniani wakiwemo viongozi wa serikali, taasisi za kimataifa, asasi za kiraia, sekta binafsi, wataalam wa afya, watafiti, wanasayansi, na wanaharakati kujadili namna ya kupata ufumbuzi wa changamoto za kiafya zinazoikabili dunia.
Habari Picha 9943
Imesema katika siku ya ufunguzi Washiriki walijadili mada mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya nchi katika sekta ya afya, pamoja na umuhimu wa kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza,
Yakiwemo kisukari, moyo, figo, na kansa ambayo yamekuwa yakichangia kwa kiasi kikubwa idadi ya vifo duniani.
Habari Picha 9940
Naye Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika, Profesa Mohamed Janabi, alikuwa mmoja wa wachangia mada hizo zilizokuwa zikiendeshwa kwa utaratibu wa paneli.
Serikali imekuwa ikishiriki majukwaa kama hayo kwa lengo sio tu la kupata wadau wa kushirikiana nao kuimarisha sekta ya afya nchini, bali pia kujiimarisha kidiplomasia katika anga za kimataifa.
Habari Picha 9941

You Might Also Like

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Wanaotumika Vibaya Waonywe

Ridhiwani: Maandalizi Mei Mosi  Yafikia Asilimia 88

Kafulila: Deni La Taifa Ni Himilivu

Apongeza watumishi kwa kutoa huduma bora kwa walimu

Tanzania yqpata dola bilioni 2.3 kwa kuuza matunda, kunde nje

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Mafunzo ya Ufundi Sasa Kupatikana Popote Kupitia Programu ya VSOMO”
Next Article Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?