MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya
Habari

Tanzania Yaongeza Kasi ya Utafutaji Masoko ya Parachichi Ulaya

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
BALOZI wa Tanzania nchini Ujerumani, Hassan Mwamweta, ameongoza ujumbe wa wakulima na wafanyabiashara kutoka Tanzania kushiriki Maonesho ya Kimataifa ya Matunda na Mboga mboga ya ‘Fruit Logistica 2026’ yaliyofanyika jijini Berlin kuanzia Februari 3 hadi 6, mwaka huu 2026.
Ujumbe huo unajumuisha Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA), Saleh Saad Mohamed.
Habari Picha 11116
Taarifa inaeleza lengo la ushiriki wao ni kutafuta na kupanua masoko ya mazao ya Tanzania hususan parachichi, kuongeza mtandao wa wafanyabiashara, pamoja na kujifunza fursa na mbinu mpya katika kilimo-biashara.
Zaidi ya kampuni 40 kutoka Tanzania, kwa kushirikiana na Chama cha Wakulima wa Mazao ya Bustani Tanzania (TAHA), Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) pamoja na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), zinashiriki maonesho hayo.
Kwa ujumla, maonesho ya Fruit Logistica 2026 yamewakutanisha zaidi ya kampuni 2,600 kutoka nchi 151 duniani.
Habari Picha 11117
Fruit Logistica ni maonesho makubwa ya kimataifa yanayowaleta pamoja wakulima, wasambazaji, wanunuzi, wasafirishaji na wadau mbalimbali katika mnyororo wa thamani wa matunda na mbogamboga kutoka sehemu mbalimbali duniani.

You Might Also Like

JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho

Awamu Ya Pili Uboreshaji, Uwekaji Wazi Wa Dafatri La Wapiga Kura Kuanza Mei

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

Ujenzi Jengo la Sayansi, Teknolojia, Ubunifu Kuanza Kesho Dodoma

Roman Glorig Ahuisha Mkataba wa Uwakilishi wa Heshima wa Tanzania Nchini Czech

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Umeme Vitongojini Wachoche Uchakataji Mazao Katavi
Next Article Pinda Aitaka Jamii Kujikita Upandaji Miti Bila Kusubiri Matukio Maalumu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Pinda Aitaka Jamii Kujikita Upandaji Miti Bila Kusubiri Matukio Maalumu
Habari February 6, 2026
Umeme Vitongojini Wachoche Uchakataji Mazao Katavi
Habari February 6, 2026
Taska Mbogo Aitaka Serikali Kurejesha Viwanda, Kuimarisha Kilimo
Habari February 6, 2026
Makampuni 408 Ya Tanzania Yaruhusiwa Kusafirisha Mazao Ya Kilimo Kwenda China
Habari February 5, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?