MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania, Uturuki Zaweka Dira Mpya ya Biashara ya Dola Bil. Moja
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania, Uturuki Zaweka Dira Mpya ya Biashara ya Dola Bil. Moja
Habari

Tanzania, Uturuki Zaweka Dira Mpya ya Biashara ya Dola Bil. Moja

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DAR ES SALAAM: TANZANIA imeweka malengo makubwa ya kupanua ushirikiano wake wa kiuchumi na Uturuki kwa kufikia biashara ya thamani ya Dola za Kimarekani Bilioni moja, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kukuza uchumi kupitia diplomasia ya biashara.
Akizungumza  Mkoani Dar es Salaam wakati wa kusainiwa kwa Azimio la Kamati ya Pamoja ya Biashara (JTC) kati ya Tanzania na Uturuki, Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, amesema  hatua hiyo inalenga kuongeza thamani ya bidhaa za Tanzania zinazopelekwa kwenye soko la Uturuki.
“Kupitia timu ya wataalamu na ushirikiano wa sekta binafsi, tutaweka msingi imara wa kukuza mauzo yetu na kuifanya biashara kuwa lango kuu la fursa kwa wananchi wetu,” amesema Dkt. Jafo.
Dkt. Jafo amesema kuna fursa kubwa ambazo bado hazijatumika kikamilifu katika sekta za viwanda, kilimo, na madini, huku akisisitiza kuwa Tanzania inajifunza teknolojia ya kisasa kutoka kwa washirika wao wa Uturuki ili kuongeza ufanisi wa uzalishaji wa ndani.
“Teknolojia ya Uturuki kwenye viwanda na kilimo ni ya kiwango cha juu. Ushirikiano huu utatufungulia milango ya maarifa na kuongeza tija kwa Watanzania,” amesema.
Uhusiano kati ya Tanzania na Uturuki umeimarika kwa kasi katika muongo uliopita, hasa kufuatia kufunguliwa kwa balozi za nchi hizo mwaka 2009 na 2017 mtawalia. Ziara za viongozi wakuu — akiwemo Rais Recep Tayyip Erdoğan na Rais Samia Suluhu Hassan — zimechochea zaidi mashirikiano hayo.
Kwa upande wake, Kaimu Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Goktug IPEK, amesema kuwa JTC itakuwa chombo muhimu cha kuondoa vikwazo vya kibiashara na kurahisisha uwekezaji kati ya pande hizo mbili.
“Tutaendelea kushirikiana kwa karibu katika maeneo ya miundombinu, kilimo, nishati na teknolojia. Kamati hii itakuwa jukwaa la maendeleo ya pamoja,” amesema IPEK.
Amehitimisha kwa kusema kuwa chini ya uongozi wa Rais Erdoğan na Rais Samia, nchi hizo mbili zitajenga uhusiano wa kiuchumi wenye misingi ya uadilifu, maendeleo na ustawi wa pamoja.

You Might Also Like

Katibu Mkuu CCM Dkt. Nchimbi Akutana na Katibu Mkuu CRC

Chalamila Asema Serikali Inafanyia Kazi Changamoto, Mradi Wa Mabasi Yaendayo Haraka

Samia Kukagua Barabara Ya Mzunguko, Uwanja Wa Ndege Msalato Kesho

Miaka 60 Mikumi na mapinduzi makubwa sekta ya utalii

Bashungwa Asema Wafungwa Kupewa Mafunzo Ya Ufundi Stadi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUICO Arusha Yapongezwa Na AUWSA
Next Article Maliasili Yapongezwa Kwa Kutekeleza Maono Ya Rais Samia  
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Benki Ya Dunia Kujenga Mradi Wa Njia Ya Kusafirisha Umeme Wa KV 400  Kutoka Uganda-Tanzania  
Habari July 23, 2025
Maliasili Yapongezwa Kwa Kutekeleza Maono Ya Rais Samia  
Habari July 23, 2025
TUICO Arusha Yapongezwa Na AUWSA
Habari July 23, 2025
TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21
Habari July 23, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?