MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika
Habari

Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage.
TANZANIA itakuwa mwenyeji wa kongamano la Kimataifa la eLearning Africa linalotarajiwa kufanyika Mei saba hadi tisa, 2025 katika Kituo cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es salaam.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa.Adolf Mkenda amesema hayo alipozungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ujio wa kongamano hilo.
Amesema kongamano hilo hapa nchini litakuwa la mara ya pili kufanyika.
Profesa Mkenda amesema lengo la kongamano hilo ni kuleta kwa pamoja makundi mbalimbali kutoka zaidi ya nchi 65 kwa ajili ya kujadili, kubadilishana uzoefu, kuhamasisha uwekezaji na kuazimia mipango ya pamoja ya kuchagiza matumizi ya Teknolojia za kidijitali katika Sekta ya Elimu Barani Afrika.
Amesema kongamano kama hilo  lishafanyika nchi 17 ikiwemo Tanzania.
“Kongamano hilo Tanzania lilifanyika mwaka 2021 hivyo mwaka huu litakuwa linafanyika kwa mara ya pili, litawakutanisha  wadau mbalimbali Barani Afrika.,” amesema.
Amesema makundi hayo ya wadau yatajumuisha watunga sera,watoa maamuzi,wataalamu wa Elimu,wataalamu wa Teknolojia,watafiti,wabunifu,wafanya biashara,wawekezaji na wadau wa maendeleo.
Pia kongamano hilo litajumuisha mkutano wa mawaziri zaidi ya 50 kutoka nchi 49 Barani Afrika utakao kuwa na lengo la kuazimia mikakati ya pamoja na kuandaa nguvu kazi maili katika kubuni, kuzalisha,na kuimalisha matumizi ya kidigitali.
“Kama wenyeji wa kongamano hili nchi yetu inatarajia kunufaika na fursa mbalimbali  kutokana na kuwa mwenyeji wa kongamano hili ambapo tutabaini mikakati mpya hususani katika sekta ya Elimu,” amesema.
Kauli mbiu ya kongamano inasema ‘Kufikiria Upya Elimu na Maendeleo ya Raslimali Watu kwa Ustawi wa Afrika’.

You Might Also Like

TARURA Yaimarisha Upitikaji Miundombinu Ya Barabara

Watu Milioni 300 Afrika Kutumia Nishati Ya Umeme Ifikapi 2030-Biteko

Mdemu Awataka Wafanyabiashara Ndogo Ndogo Kuchangamkia Mkopo

Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma

Nguvu Zaidi Iongezwe Kwenye Tafiti Zinazogusa Maisha Ya Jamii

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARURA Yaimarisha Upitikaji Miundombinu Ya Barabara
Next Article NCCR-MAGEUZI Kushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?