MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Tanzania Kujenga Kiwanda Kikubwa cha Mbolea kwa Ushirikiano na Zambia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Tanzania Kujenga Kiwanda Kikubwa cha Mbolea kwa Ushirikiano na Zambia
Habari

Tanzania Kujenga Kiwanda Kikubwa cha Mbolea kwa Ushirikiano na Zambia

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA: KAMPUNI ya Mbolea Tanzania (TFC) imeweka mikakati ya kusimika kiwanda kikubwa cha kuchanganya na kuzalisha mbolea nchini, kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa ndani na kupunguza utegemezi wa mbolea kutoka nje.
Mkurugenzi Mkuu wa TFC, Samwel Mshote amesema kampuni hiyo inatarajia kupokea mitambo maalum kwa ajili ya mradi huo, na tayari imepata mbia kutoka Zambia ambaye atashiriki katika uwekezaji.
Amesema Kiwanda hicho kitalenga kuzalisha mbolea kwa kuzingatia mahitaji halisi ya udongo katika maeneo mbalimbali ya Tanzania.
Amesema Kiwanda kitategemea rasilimali zinazopatikana hapa nchini, ikiwemo makaa ya mawe na madini ya phosphate kutoka mikoa ya Manyara na Songwe.
“Kwa sasa, TFC imepatiwa ardhi yenye ukubwa wa ekari 2,750 katika Manispaa ya Tabora kwa ajili ya ujenzi wa kiwanda hicho. maandalizi ya awali yameanza, na ujenzi unatarajiwa kuanza ndani ya mwaka huu,” amesema.
Amesema hatua hiyo ni sehemu ya jitihada za serikali kufanikisha uzalishaji wa mbolea ndani ya nchi, kupunguza matumizi ya fedha za kigeni, pamoja na kuchochea ukuaji wa uchumi kupitia ajira mpya na kuongeza kipato cha wananchi.
Wakati huohuo, TFC imejiandaa kusambaza jumla ya tani 200,000 za mbolea kwa msimu huu.
Amesema mbolea zitakazosambazwa ni pamoja na aina ya Diammonium Phosphate (DAP), Urea (N-46), na Calcium Ammonium Nitrate (CAN 27), ambapo usambazaji wa DAP na Urea tayari umeanza kufanyika katika maeneo mbalimbali ya nchi, huku shehena nyingine zikiwa bionic kusambaziwa.
Aidha, TFC inaendelea kupanua mtandao wake wa mauzo kupitia vituo vilivyopo katika mikoa ya Mbeya, Njombe, Rukwa, Ruvuma, Mwanza na Tabora. Kampuni hiyo inawahamasisha Watanzania kushiriki katika mnyororo wa usambazaji wa mbolea kwa kujitokeza kuwa mawakala katika maeneo yao.

You Might Also Like

MAIPAC Yagawa Bure  Majiko Ya Gesi Monduli, Lowassa Apongeza.             

Sheria ya ajira, mahusiano kazini ipitiwe upya

BRELA Yazindua Baraza La Wafanyakazi

COSTECH yazindua program kuwajengea uwezo wanawake kidijitali

Waziri Mkuu Mstaafu Pinda Atoa Neno Kwa Vijana, Maadhimisho Miaka 30 VETA

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Yaleta Mapinduzi ya Kilimo na Biashara Kupitia Bunifu –  Profesa Nombo
Next Article TOSCI: Mbegu Bora Ni Ajira, Biashara
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?