MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: TAFIRI Wakabiliana Na Mabadiliko Ya Tabianchi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > TAFIRI Wakabiliana Na Mabadiliko Ya Tabianchi
Habari

TAFIRI Wakabiliana Na Mabadiliko Ya Tabianchi

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Utafiti wa Uvuvi Tanzania (TAFIRI), inapambana kuzuia mabadiliko ya Tabianchi kwa kufanya tafiti zinazowezesha wananchi kutumia nishati mbadala badala ya kuni.

Mkurugenzi Mkuu wa taasisi hiyo, Dkt.Ismael Kimirei amesema hayo wakati akichangia mada katika Kongamano la tisa la Sayansi, Teknolojia na Ubunifu pamoja na maonesho lililoandaliwa na Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) lililomalizika hivi karibuni.

Kimerei amesema,”Tumeanza na Tanga kutumia sola lakini sola hiyo sio ya kawaida kuweka samaki juani kama hao mwanzo, sasa hivi tunajenga mabanda ambayo bado tunaweza tukatunza lile kusudi hata kama hakuna jua la kutosha bado mtu anaweza akakausha samaki.

“Kwa hiyo kwa style hiyo tunakuwa tumepunguza kutengeneza kwenye kuni katika kukausha samaki,” amesema.

Vilevile amesema,”Kule Tanganyika tumetengeneza jiko banifu. Kwa mfano ulitumia kilo 100 za kukausha kilo 100 za dagaa, nitumie kilo 20 au kilo mbili za kuni kukausha kilo ile ile 100. Unaangalia utafiti wetu unajielekeza katika kupunguza,”.

Pia amesema taasisi hiyo inatafuta mbinu za kuhakikisha upotevu wa samaki unaisha ikiwa ni pamoja na kuelimisha jamii.

“Samaki wanaomfikia mwananchi wa kawaida wengi ni dagaa, hivyo kuna upotevu mkubwa. Katika tafiti ambazo tumefanya tunaona kuna upotevu wa karibia asilimia 40. Ukivua kilo 100 maana yake kilo 40 inapotea.

“Sasa tunafanya nini? Sisi kama TAFIRI tunatafuta mbinu za kuhakikisha upotevu unaondoka lakini tunaelimisha jamii na Wizara ya Mifugo na Uvuvi wametengeneza mkakati wa kufika mwaka 2030 wawe wamepunguza upoteevu huo,” amesema.

You Might Also Like

Mwanachama Wa TALGWU Akutwa Hana Hatia

Lugendo Awataka Wananchi Kujenga Tabia Ya Kufanya Usafi

Rais Samia kufungua kikao kazi cha watendaji serikalini

Kongamano  La Kimataifa La Jotoardhi Laanza Kwa Mafanikio

PURA Yajipanga Gesi Asilia Itumike Kwenye Magari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Walimu Wanaofundisha Lugha Ya Kichina Tanzania Wakutana
Next Article Watanzania Washauriwa Kula Senene, Kumbikumbi, Msusa, Ngogwe Kuepuka Udumavu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?