MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji
Habari

Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA:HAIRUHUSIWI kufuga, kuchunga ama kuvua samaki katika maeneo yaliyotengwa rasmi kwenye shughuli za kilimo cha umwagiliaji.
Ofisa Sheria Mwandamizi kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Amina Mweta amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea katika Uwanja wa Nzuguni Dodoma.
Amina amesema sheria inakataza hayo kwamba maeneo ambayo yametangazwa kuwa ni sehemu ya kilimo cha umwagiliaji hayapaswi kutumika kwa shughuli nyingine.
Amesema pia sheria kwa kutambua kuwa miundombinu ya umwagiliaji inapaswa kujengwa na kukarabatiwa, ” Kifungu cha 52 kimeanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Umwagiliaji ambao utachangiwa na serikali kuu, wadau wa sekta ya umwagiliaji pamoja na vyama vya umwagiliaji.
“Hiyo sheria imebainisha kwamba wakulima wa umwagiliaji wanapaswa kuchangia ada ya huduma ya umwagiliaji kwa kila msimu watakaovuna kwa asilimia tano tu ya mapato ambayo wanayapata,” amesema.
Awali amesema sheria ya Taifa ya Umwagiliaji imetoa majukumu kwa tume kuratibu, kusimamia na kuendeleza sekta ya umwagiliaji nchini.
Amesema majukumu mengine ya tume ni kusimamia na kusajili vyama vya wakulima wa umwagiliaji.

You Might Also Like

Simbachawene: Simu za mkononi zinaondoa umakini kwa watumishi wa umma

Rais Samia Awakumbuka Wazazi Wanaojifungua Watoto Njiti

Mbarawa Aagiza Matumizi Ya Kitufe Utambuzi Wa Dereva

Kikosi Kazi Maalumu Cha Kupitia Muongozo Wa Ufasili Wa Sheria Chazinduliwa

TEA, Wadau Kuwezesha Matumizi Safi Nishati Ya Kupikia Mashuleni

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Miradi ya Maendeleo Isimamiwe kwa Uadilifu
Next Article Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?