MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji
Habari

Si ruhusa kufuga, kuchunga, kuvua maeneo ya umwagiliaji

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA:HAIRUHUSIWI kufuga, kuchunga ama kuvua samaki katika maeneo yaliyotengwa rasmi kwenye shughuli za kilimo cha umwagiliaji.
Ofisa Sheria Mwandamizi kutoka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, Amina Mweta amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea katika Uwanja wa Nzuguni Dodoma.
Amina amesema sheria inakataza hayo kwamba maeneo ambayo yametangazwa kuwa ni sehemu ya kilimo cha umwagiliaji hayapaswi kutumika kwa shughuli nyingine.
Amesema pia sheria kwa kutambua kuwa miundombinu ya umwagiliaji inapaswa kujengwa na kukarabatiwa, ” Kifungu cha 52 kimeanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Umwagiliaji ambao utachangiwa na serikali kuu, wadau wa sekta ya umwagiliaji pamoja na vyama vya umwagiliaji.
“Hiyo sheria imebainisha kwamba wakulima wa umwagiliaji wanapaswa kuchangia ada ya huduma ya umwagiliaji kwa kila msimu watakaovuna kwa asilimia tano tu ya mapato ambayo wanayapata,” amesema.
Awali amesema sheria ya Taifa ya Umwagiliaji imetoa majukumu kwa tume kuratibu, kusimamia na kuendeleza sekta ya umwagiliaji nchini.
Amesema majukumu mengine ya tume ni kusimamia na kusajili vyama vya wakulima wa umwagiliaji.

You Might Also Like

JAB Yatoa Mwezi Moja Kuthibitishwa, kupewa vitabulisho

Tanzania Yazindua Mkakati wa Taifa wa Usimamizi Na Uendelevu wa Mikoko

Vyama Vya Wafanyakazi Himizeni Na Kufundisha  Amani Ya Nchi Kuelekea Uchaguzi Mkuu -Ridhiwan

Tutumie Mitandao Kwa Matumizi Yenye Manufaa – Kilimbe

Tume ya Kurekebisha Sheria Yatoa Onyo Kali kwa Wanaovunja Sheria za Umwagiliaji

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Miradi ya Maendeleo Isimamiwe kwa Uadilifu
Next Article Mpango Mkakati wa Takwimu wazinduliwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Nchimbi Ahimiza Ushirikiano wa Wizara Katika Uhifadhi wa Mazingira
Habari March 10, 2026
Mtaka, Ndunguru Wakubaliana Ujenzi wa Maabara ya Kimkakati Njombe
Habari March 10, 2026
Wataalamu wa Fedha SADC Wakutana Pretoria Kujadili Bajeti
Habari March 9, 2026
TASFAM Yawawezesha Wanawake wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi Kuadhimisha Siku ya Mwanamke
Habari March 9, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?