MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Serikali Yaanza Mikakati Ya Kukabiliana Na Wanyamapori Wakali, Waharibifu
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Serikali Yaanza Mikakati Ya Kukabiliana Na Wanyamapori Wakali, Waharibifu
Habari

Serikali Yaanza Mikakati Ya Kukabiliana Na Wanyamapori Wakali, Waharibifu

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
DODOMA: SERIKALI imeongeza nguvu katika hatua za kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu, hasa Tembo wanaovamia makazi na mazao ya wananchi.
Mbinu zinazotumika ni pamoja na uanzishaji wa vituo vya Askari wa wanyamapori karibu na maeneo ya hifadhi ili kuhakikisha mwitikio wa haraka kwa tukio lolote linalohusisha wanyama hao.
Habari Picha 11681
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa ufafanuzi huo Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya Wabunge katika Mkutano wa 3 wa Bunge la 13.
Amesema Wizara ya Maliasili na Utalii inatekeleza mpango wa kuanzisha vituo hivyo katika kila eneo lililo hatarini, ili kupunguza athari zinazotokana na wanyamapori hao kwa wananchi.
“Serikali pia imekuja na mbinu mpya za kuwafukuza wanyama hawa, mojawapo ikiwa ni kutumia ndege za nyuki pindi wanyama wanapobainika kuelekea maeneo ya wananchi,” amesema Dkt. Nchemba.
Aidha, Waziri Mkuu ameongeza kuwa Wizara itazidisha idadi ya Askari wa wanyamapori katika maeneo yenye upungufu wa walinzi ili kuhakikisha mwitikio wa haraka na ufanisi, sambamba na juhudi za kupambana na ujangili.
Dkt. Nchemba pia alifafanua kuwa Tanzania ni mwanachama wa mikataba ya kimataifa inayolinda wanyamapori, ikiwemo Tembo, kuhakikisha hawaharibiki, hawauwawi kiholela, na mazao yao yasihamishwe bila utaratibu.
Habari Picha 11682
Hii ni hatua muhimu katika kuhifadhi urithi wa wanyamapori na kulinda maslahi ya wananchi wanaoishi karibu na hifadhi.
Serikali inasisitiza kuwa mikakati hii ya kuimarisha ulinzi wa wanyamapori itasaidia kupunguza migongano kati ya binadamu na wanyama, huku ikihakikisha hifadhi za wanyamapori zinaendelea kuendelezwa kwa njia endelevu.
Habari Picha 11683

You Might Also Like

Mgombea Urais CHAUMMA Asema Nchi Inahitaji Mawazo Mapya

Mbunge Ndoinyo Asema Imani ya Wananchi kwa Rais Samia Yazidi Kuimarika

Mkurugenzi VETA Kasore Akiteta Jambo Na Mhitimu Fani Ya Ushonaji

TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi

Majaliwa ataka kuondolewe vikwazo vya rufaa za matibabu Afrika Mashariki

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Askofu Chilongani Aitaka Jamii Kutumia Ijumaa Kuu Kusameheana na Kujenga Umoja
Next Article CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Kanisa Laitaka Serikali Kuchukua Hatua Dhidi ya Rushwa
Habari April 5, 2026
CWT Yashauri Walimu Wasiwe Wasimamizi Wa Miradi
Habari April 4, 2026
Askofu Chilongani Aitaka Jamii Kutumia Ijumaa Kuu Kusameheana na Kujenga Umoja
Habari April 4, 2026
TAWIA na MAIPAC washirikiana kuadhimisha Siku ya Wajane, wapanga kupanda Mlima Kilimanjaro
Habari April 4, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?