MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa
Habari

Sagini Amwelezea Kaluta Amir Abeid Ni Alama Ya Kuigwa

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
3 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini ameyataka Mashirika yanayojihusisha na vijana kuwatengenezea mfumo wenye tija na msaada kwa taifa katika umri mdogo kwa lengo la kukuza chachu ya maendeleo.

Sagini amezungumza hayo wakati wa maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Sheikh Kaluta Amir Abeid, na miaka 60 ya kifo chake iliyofanyika Dar es Salaam.

Amesema Kaluta alifanya mapinduzi ya kimaendeleo akiwa na umri mdogo zaidi kushika nyadhifa mbalimbali kuhakikisha anacha alama ambayo ni kumbukizi kwa vizazi vilivyopo na vijavyo.

Naibu Waziri amemwelezea Kaluta kwamba alikuwa na mchango katika kukuza kiswahili, kuhakikisha kinaenea kupitia kitabu cha kanuni za ushairi na Kitabu cha Diwani ya Amri.

“Nitahakikisha Wizara ya Katiba na sheria tunaandaa Sheria kwa Lugha ya Kiswahili ili kuwaenzi Waasisi waliopigania Lugha hii inafika duniani kote,bali pia Kurahisisha Mawasiliano baina ya watu ambao hawawezi kutumia lugha ya Kiingereza ambapo kwa sasa watu wengi wanapitia kadhia ya kusoma mikataba na sheria kwa Lugha ambayo kwao imekuwa changamoto. ” amesema.

Sagini ametoa wito pia kwa Baraza la Kiswahili Taifa (BAKITA ) na Wadau Wengine wa Lugha ya Kiswahili kuendeleza kuandaa Makongamano ambayo Kimsingi ina lengo la kukuza lugha ya Kiswahili .

Pia ametoa rai Kwa Vijana kujifunza kutoa mchango kwa taifa huku akizikumbusha taasisi zinazohihusisha na Vijana kuweka mifumo rafiki ili waweze kuwaandaa Vijana na Kuwawezesha Kulitumikia taifa mapema .

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo Hamis Mwinjuma amesisitiza umuhimu wa tukio la Kuwaenzi Mashujaa , akieleza kuwa linaangazia mchango wa Sheikh Kaluta Amri Abeid katika kukuza na kuendeleza lugha ya Kiswahili, hasa katika nyanja za sarufi, fasihi, na utangazaji wa Kiswahili duniani.

“‘Serikali ya Tanzania itaendelea kuunga mkono juhudi za kukuza Kiswahili, ikiwa ni pamoja na kuenzi kazi za mashujaa kama Sheikh Kaluta, na kuhakikisha lugha hii inazidi kuwa nyenzo ya maendeleo na utambulisho wetu kama Taifa.'” amesema.

Naye Mwakilishi Taasisi ya Sheikh Kaluta Amri Abeid, Amiri Abeid Kaluta ametoa Pongezi kwa Viongozi, Taasisi,Makampuni na Mashirika ambayo yamefanikisha Kumbukizi hiyo .

You Might Also Like

RAAWU na mafanikio iliyopata utawala wa Rais Samia

UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka

TANESCO Tunathamini Wadau Wa Maendeleo- Nyamo-Hanga

Mtafiti UDSM Atafiti Mimea Ya Asili Kudhiti Fangasi Kwenye Mimea

Njaa, Mafao Ya Wakulima Vyatikisa Kampeni Za Ubunge Dodoma Mjini

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCTA Yaainisha Mambo Matano Yanayohitaji Hatua Za Haraka
Next Article Tanzania Na Italy Wasaini Makubaliano Kuongeza Ubora Mafunzo Ya Ukarimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?