MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Ridhiwani Kikwete Kuzindua Miradi ya Maendeleo Songwe
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Ridhiwani Kikwete Kuzindua Miradi ya Maendeleo Songwe
Habari

Ridhiwani Kikwete Kuzindua Miradi ya Maendeleo Songwe

Author
By Author
Share
1 Min Read

Na Mwandishi Wetu

SONGWE: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwani Kikwete yupo mkoani Songwe kwa ajili ya kukagua miradi ya maendeleo ya Sekta ya Elimu, Afya na Miundombinu kwa ajili ya ustawi wa maendeleo ya wananchi.

Ridhiwani katika ziara yake hiyo ataweka mawe ya msingi katika miradi hiyo inayokadiriwa thamani ya zaidi ya Sh. Bilioni 700 katika Halmashauri zote za mkoa huo.

Vile vile Waziri Ridhiwani atakagua Maendeleo ya Kituo cha Vijana cha Sasanda wilayani  Songwe ya mradi wa Shamba la vijana lililopo kituo hicho.

Katika ziara hiyo, Ridhiwani ameambatana na watendaji mbalimbali ambao wako tayari kwa kazi iliyowapeleka.

Baada ya kuwasili mkoani hapo, Ridhiwani alipokelewa na Mkuu wa Mkoa huo, Daniel Chongolo na kumjulisha hali ya maendeleo ya Mkoa huo na maandalizi ambayo yameshafikiwa kwa ajili ya ziara hiyo.

You Might Also Like

Tanzania Yanadi Nishati Kimataifa

Kapinga Ahamasisha Wananchi Kushiriki Uchaguzi Serikali Ya Mtaa

Askari wa Jeshi La Uhifadhi Kusini Wakumbushwa Wajibu

TUCASA Yatoa Mapendekezo ya Sheria, Sera Kwa Serikali Kutatua Ucheleweshaji Wa Malipo

Silaa: Akili Mnemba, Roboti kuongeza ufanisi,ubunifu 

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Maadhimisho Ya VETA Ya Miaka 30 Kuhitimishwa Machi 18 Hadi 21, DSM
Next Article TRC, Wananchi Burundi Wakutana Utekelezaji Mradi wa SGR
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Mbinu Mpya za Kilimo kwa Vijana Zapata Umaarufu Nanenane Banda La VETA
Habari August 6, 2025
VETA Yatahadharisha Changamoto ya Kuzidisha Uchanganyaji wa Chakula Cha Mifugo
Habari August 6, 2025
UDSM Yaanzisha Mkakati Kuokoa Nyuki Wadogo
Habari August 6, 2025
UDSM Imekuja Na App Inayounganisha Wakulima na Watoa Huduma za Kilimo kwa Haraka
Habari August 5, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?