MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: RAAWU na mafanikio iliyopata utawala wa Rais Samia
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > RAAWU na mafanikio iliyopata utawala wa Rais Samia
Habari

RAAWU na mafanikio iliyopata utawala wa Rais Samia

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

CHAMA cha Wafanyakazi wa Taasisi na Elimu ya Juu, Sayansi, Teknolojia, Habari, Ufundi Stadi na Utafiti (RAAWU),
kimeelezea baadhi ya mafanikio yake hasa katika kipindi cha serikali ya awamu ya tano na sita ya Rais Samia Suluhu Hassan.

Miongoni mwa mafanikio hayo ni pamoja na kurudishwa kazini watumishi wa darasa la saba walioondolewa kazini kimakosa, wakiwepo wafanyakazi 177 kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), kilichopo Morogoro.

Katibu wa Elimu RAAWU, Baraka Shekimweri ameishukuru serikali kwa namna inavyoshughulikia madai mbalimbali ya wafanyakazi katika sekta za RAAWU, japo amesema yapo baadhi ya mambo kama uidhinishwaji mikataba ya halibora yapo katika hatua za ufuatiliaji.

Shekimweri ambaye amezungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu RAAWU, Joseph Sayo amesema pia chama hicho kimepigania malipo ya malimbikizo ya mishahara ya wasaidizi wa wana taaluma kutoka vyuo Vikuu vya umma,

Ambapo hadi sasa madai kwa baashi ya wanufaika kutoka Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) na SUA wameshalipwa fedha zao na wengine bado wapo kwenye foleni.

Katika hilo RAAWU inaendelea na ufuatiliaji madai hayo ili wahusika au familia zao kwa wale walio staafu au kufariki waweze kulipwa.

Mbali na hilo, amesema chama hicho kwa kushirikiana na TUCTA kimepigania kulipwa michango ya watumishi waliokuwa na vyeti feki ikiwa ni pamoja na kuwaombea wasishtakiwe kwa jinai kutokana na udanganyifu na uhujumu uchumi.

Jambo lingine ameeleza kuwa chama hicho kimeshiriki katika majadiliano na serikali pamoja na mfuko wa Bima ya Afya kuongezwa kwa umri wa wategemezi kutoka umri wa miaka 18 hadi 21.

Vile vile RAAWU imeshiriki katika majadiliano yaliyosababisha kuondolewa kwa tozo ya ongezeko la thamani yaani kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ambayo ilizalisha madeni makubwa kwa wanufaika hayo yaliyokuwa hayalipiki.

You Might Also Like

Rais Samia Aridhia Malipo Ya Fidia Barabara Ya Afrika Mashariki

Serikali Imetoa Ruzuku Ya Asilimia 20 Hadi 50 Kwenye Mitungi YA Gesi – Kapinga

Wafugaji huchakachua maziwa kwa kuongeza mafuta, maji, magadi au mkojo wa ng’ombe

Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina

USAID yatoa Dola mil nane Kwa kampuni za Tanzania

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Rais Samia atambua mchango wa NHIF, WCF
Next Article GIZ, IUCEA waratibu uchambuzi wa data kidijitali kwa wahitimu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

TARI Kibaha Yaboresha Pia Mbegu za Mazao ya Mizizi
Habari August 7, 2025
TAMWA Yawawezesha Wanawake Kupitia Mradi wa Nyuki
Habari August 7, 2025
Nishati Safi Kwa Kila Mtanzania Inawezekana – Saidy
Habari August 7, 2025
Bodi ya Maziwa Yatoa Mafunzo ya Ubora, Usalama wa Maziwa Katika Maonyesho ya Nane Nane
Habari August 7, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?