MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: PSSSF sasa kidijitali
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > PSSSF sasa kidijitali
Habari

PSSSF sasa kidijitali

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Lucy Ngowi
DODOMA:WANACHAMA wa Mfuko wa Pensheni wa Wastaafu (PSSSF), wamerahisishiwa kupata huduma kwa kuwa sasa mfuko huo upo kidijitali.
Ofisa Matekelezo Mwandamizi wa mfuko huo, Innocent Sizulwa amesema hayo katika maonesho ya Wakulima, Wafugaji na Wavuvi yanayoendelea jijini Dodoma.
Amesema mfumo huo wa kidijitali sasa utawawezesha  wanachama wake kupata huduma mbalimbali za mfuko bila kufika ofisini.
Sizulwa amesema mfumo huo utawasaidia kupata taarifa  kwenye simu zao za mkononi kwa.maana ya simu janja .
“Kupitia mfumo huo na kwa kutumia simu janja ,mteja atapata huduma zote ikiwemo taarifa za michango yake ,kusajili mafao,kuongezea taarifa mbalimbali za kiuanachama kama idadi ya watoto na wategemezi katika mfuko,” amesema.
Amesema ili kujiunga katika mtandao huo,mwanachama anapaswa kuwa na namba ya simu,sahihi na namba ya utambulisbo wa Taifa.
“Mfumo huu sasa humwezesha mteja kufanya shughuli za PSSSF akiwa nyumbani.
Kwa upandewake Ofisa Mawasiliano, Rehema Mkamba amesema PSSSF imewekeza kwa wadau bidhaa za ngozi kwenye kiwanda cha Kilimanjaro ambacho hutengeneza viatu, mikanda, mikoba na kuuza kwa wateja wao..
Vile vile ameaema mfuko umewekeza kwenye ranchi za kisasa ya Nguru ya Mvomero

You Might Also Like

Miaka Minne Ya Samia Na Sekta Ya Elimu

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Mikoa mitatu kuanzishwa vituo vya gesi asilia

Mrithi wa Kinana Kupatikana Mkutano Mkuu wa CCM

Jeshi La Uhifadhi Wasisitizwa Kuzingatia Misingi ya Haki za Binadamu

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tigo yawafikia wakulima, wafugaji. Wavuvi nanenane Dodoma
Next Article Erio atoa elimu ya bidhaa bandia kwenye mabanda nanenane
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?