MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina
Habari

Profesa Mutembei apongeza serikali kuruhusu mchepuo lugha ya kichina

Author
By Author
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WANAFUNZI wamekuwa na muitikio mzuri wa kujifunza lugha ya kichina kutokana na mahusiano mazuri yaliyopo baina ya nchi ya China na Tanzania.
Kaimu Ofisa Elimu Sekondari Wilaya ya Bagamoyo Pwani, Zaitun Shikwazi amesema hayo kwenye kusherehekea  maadhimisho ya miaka 20 ya Taasisi ya Confucius,  katika Shule ya Sekondari Baobab.
Amesema China ina mahusiano mazuri ya kibiashara lakini kwenye upande wa elimu kuna ushirikiano mzuri na watoto ndio maana wanapenda kujifunza lugha hiyo.
Amesema uhusiano uliopo baina ya nchi hizi mbili unaleta matokeo chanya kwenye nyanja ya elimu.
Naye Mkurugenzi Mtanzania Taasisi ya Confucius Profesa Aldin Mutembei, amesema walifarijika kusikia Rais Samia Suluhu Hassan aliposema inatakiwa kuwepo  na Shule za mchepuo wa lugha ya kichina.
“Ni muhimu sana kwa watanzania kujifunza lugha ya kichina kwani inasaidia kufungua fursa nyingi za kibiashara lakini pia kupanua ufahamu kwani kwenye lugha saba kubwa duniani na kichina ipo,” amesema.

You Might Also Like

Uongozi CHADEMA Kanda Ya Kati Upo Imara

Tanesco yashauriiwa kuendeleza kasi

Watu Milioni 300 Afrika Kutumia Nishati Ya Umeme Ifikapi 2030-Biteko

Tanzania Kwa Mara Nyingine Mwenyeji Kongamano La eLearning Afrika

Serikali Inaboresha Miundombinu Ya Umeme Kibiti Kuondoa Changamoto Za Umeme – Kapinga

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article SOKO LA MADINI LA 43 LA ZINDULIWA TUNDURU RUVUMA.
Next Article PURA, M&P zajadili mradi wa uchorongaji visima vya gesi Mnazi Bay
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?