MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa
Habari

OUT Yawanoa Watumishi Wa Mamlaka Za Serikali Za Mitaa

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi Wetu
WATUMISHI wa Serikali za Mitaa wamepatiwa mafunzo  ya Ufuatiliaji naTathmini ili kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji wa maendeleo ya miradi inayowekezwa na serikali.
Mafunzo hayo yametolewa na Chuo
Kikuu Huria Tanzania (OUT), kwa Kushirikiana na Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI.
Kaimu Mkurugenzi kitengo cha Ufuatiliaji na Tathimini, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI, Mussa  Otieno amesema hayo  alipomwakilisha Katibu Mkuu Adolf Ndunguru, wakati akifungua mafunzo ya awamu ya pili ya Ufuatiliaji na Tathmini
Amesema mafunzo hayo yanafanyika ili kuwaimarisha watumishi waliopo katika idara hizo kwani wataimarika katika utendaji wao wa kazi.
“Baada ya mafunzo haya mtumishi atakuwa na uwezo wa kutimiza malengo yanayotakiwa katika masuala ya ufuatiliaji na tathmini ili miradi ya serikali iendane na malengo yaliyopangwa.
“Tukatumie vyema utaalam tutaopata hapa na tukawashirikishe na wenzetu tunaofanya nao kazi pamoja, ili kuwa na timu nzuri kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji na tathmini katika halmashauri tunazotoka,”amesema.
Naye Mkurugenzi wa Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini wa Utendaji wa serikali, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sakina Mwinyimkuu amesema serikali za mitaa ndiyo mtekelezaji mkubwa wa shughuli za serikali karibia asilimia 70 ya shughuli zote zinatekelezwa na mamlaka ya serikali za mitaa.
Mratibu wa Mafunzo ambaye ni Mhadhiri Mwandamizi kutoka OUT,  Dkt. Emmanuel Mallya amesema chuo hicho kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu, kinaendesha mafunzo hayo ili serikali iweze kushuhudia mabadiliko makubwa ambayo yanalenga kuimarisha utendajikazi hasa katika upande wa ufuatiliaji na tathmini.
Mwenyekiti wa washiriki wa mafunzo hayo ambaye ni Katibu Tawala msaidizi sehemu ya Usimamizi, Ufutiliaji na Ukaguzi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Pius Ngaiza, ameishukuru serikali kwa kuwapa mafunzo hayo kwa kuwa wengi walikuwa wanafanya tathmini na ufuatiliaji katika namna ambayo ilileta shida hasa katika ukaguzi,.
Amesema mafunzo hayo yamewaimarisha hivyo watafanya kazi kwa kufuata mfumo unaotakiwa kiofisi na hata kitaifa.

You Might Also Like

Hospitali ya Temeke kufanyiwa maboresho eneo la huduma Kwa wateja

Simbachawene Asema Serikali Yajivunia Mafanikio TASAF

Rais Samia Akabidhi Tuzo Kwa NSSF Ya Usimamizi,  Uratibu Wa Hifadhi Ya Jamii Kw Sekta Binafsi

Serikali  Kuja Na Mradi  Wa Kuimarisha Upatikanaji Umeme Vitongojini- Kapinga 

Biteko Agongea Msumari Elimu Ya Ufundi Stadi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TARI Yakutanisha Wadau Kuwaeleza Matokeo Ya Tafiti Za Mbegu Wanazofanya
Next Article TARI: Mabadiliko Ya Tabia Nchi Yamepunguza Ufanisi Wa Mbegu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?