MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwanjala Wa TRC Aelezea Umuhimu Wa VETA
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwanjala Wa TRC Aelezea Umuhimu Wa VETA
Habari

Mwanjala Wa TRC Aelezea Umuhimu Wa VETA

Author
By Author
Share
3 Min Read

Na Lucy Ngowi

DAR ES SALAAM: ” LEO na mimi nataka kuchangia kidogo umuhimu wa VETA na kwanini uende VETA.

VETA ni muendelezo wa transformation ya masuala ya Ufundi stadi, kwa faida ya GEN-Z ni kwamba awali ilianza National Vocational Training Centre ( NVTC) ikaenda tena kuwa National Vocational Training Division ( NVTD) kabla ya kuwa VETA.

“Binafsi sikusoma kidato cha tano na cha sita, baada ya kumaliza kidato cha nne nikajiunga na NVTC kusomea ufundi Umeme wa majumbani na kupata cheti cha Daraja la III,”.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Uhusiano cha Shirika la Reli Tanzania (TRC), Fredy Mwanjala ametoa mapni yake hayo ikiwa ni siku moja baada ya kufungwa kwa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Uanzishwaji wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), yaliyofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere Dar es Salaam( JNICC).

Mwanjala amesema stadi za ujuzi alizopata zilimsaidia kupata kazi za kufunga umeme kwenye nyumba za watu ikiwemo pia maghorofa.

” Niliutumia ujuzi huo kwa kujipatia kipato kabla sija develop interest kuwa journalist. Nikaenda chuo na kufanikiwa kuhitimu shahada mbili za mawasiliano ya Umma.

“Faida niliyonayo sasa ni kwamba hakuna fundi anayeweza kunidanganya kuhusu masuala ya umeme wa majumbani aidha ninaweza pia kumpa ushauri rafiki yangu ama yeyote kuhusu namna bora ya kufunga umeme nyumbani kwake,” amesema.

Akielezea umuhimu wa VETA, amese stadi anazopata mtu zinamsaidia mtu hata akiwa na maarifa ya kitu kingine.

“Mfano halisi mimi ni mtu wa mawasiliano lakini faida niliyopata VETA, ni kwamba hakuna fundi atanidanganya kuhusu Installation kwa mfano wire za 1.5mm na 2.5 mm zina matumizi gani ndani ya nyumba, kwanini Umeme una trip, taa zote iwe za incandescent, ama bulb, holder’s, nafunga mwenyewe, najua ku trace short imetokea wapi na kwa vipi naweza kussolve, najua aina gani ya cable za kutumia kwa matumizi husika.

“Suala la back up sipigwi, najua kujumlisha watts za vifaa vyangu na ninamwambia muuzaji anipatie back up ya watts ninayoitaka kwa matumizi yangu..

“Hiyo ni miongoni mwa faida za kuwa na stadi kutoka VETA,” amesema.

Pia amesema kiuchumi, mtu anaweza kujiajir ama kuajiriwa kutokana na ujuzi. Kwenye ushindani wa ajira, kidato cha nne mwenye stadi ya VETA hawezi kuwa sawa na kidato cha sita ambaye ametoka shule hajapata ujuzi wowote ama Mwenye diploma.

Mwanjala amesema mtu akiajiriwa kwenye taaluma nyingine lakini ana stadi katika eneo la ujenzi anaweza kupata zabuni na akawapa vibarua wafanye kazi huku yeye akisimamia kutokea kazini kwake.

“Lengo langu ni kushea umuhimu wa VETA na faida zake,” amesisitiza.

You Might Also Like

SUA Chatumia Ngamia Mafunzo Ya Vitendo Kwa Wanafunzi

Naibu Waziri Katambi aagiza CMA kutoa mafunzo kwa njia ya mtandao

Wahifadhi Saohill Wapongezwa

Maboresho Mfumo wa Sheria Zinazosimamia Uwekezaji Kuchochea Uwekezaji Nchini

Tanzania Kuwa Mwenyeji Wa Mkutano Wa Petroli Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TRC Yawatoa Hofu Wasafirishaji Mizigo Kwa Malori
Next Article NEMC Kupambana Na Magugu Maji Ziwa Victoria
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?