MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda
Habari

Mwalim: Mchagueni Mwalimu Wangu Wa Siasa Shibuda

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
SIMIYU: MGOMBEA urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim, amewataka wananchi wa Maswa Mashariki kumchagua mlezi na mwalimu wake wa siasa, John Shibuda, kuwa mbunge wao.
Akizungumza katika mkutano wa lala salama wa kampeni, Mwalim amesema Shibuda ni mwanasiasa mkongwe ambaye akienda bungeni ataweza kuzisemea changamoto na shida za Wasukuma.
“Oktoba 29 hebu twendeni na mlezi na mwalimu wa siasa aliyenilea kwa muda mrefu… huyu sina shaka naye kabisa. Mzee Shibuda ni nguli wa siasa na wazee kama hawa ni wachache,” amesema.
Mwalim amewataka WanaMaswa kuzingatia kauli ya Baba wa Taifa, Mwalim Julius Nyerere, ya mwaka 1962 kwamba hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kujidanganya kuwa hayapo.
Aidha, amesema atarejesha heshima ya Wasukuma ya kuamini kuwa jembe ni utajiri.
“Jembe ni utajiri, kwani likilima pamba, watoto watasoma na wanaume wataoa wanawake zaidi ya mmoja.
“Hamwezi kutatua matatizo yenu kwa kukubali vitu vidogovidogo kama mabango, kofia, tisheti. Nendeni mkaikatae CCM,” amesema.
Katika hatua nyingine, Mwalim amewataka Waislamu kuwachagua viongozi wanaofaa ili waweze kulisaidia taifa, alipotoa wito huo baada ya kuswali Sala ya Ijumaa katika Msikiti wa Marampaka, Simiyu.

You Might Also Like

DKT. Biteko Azindua Mradi Utakaowakwamua Vijana Kiuchumi Katika Maeneo Yanayopitiwa Na Bomba La Mafuta Ghafi  (EACOP)

Masauni Kuzifanyia Kazi Changamoto Alizozibaini Katika Ziara Yake

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani, Mwenyekiti wa CCM Pwani, wawanadi wagombea wa CCM

Utiaji Saini Mkataba Wa Ujenzi Jengo La TUGHE Wafanyika

Waajiri Wasilisheni Michango Kwa Wakati

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TUCTA: Wafanyakazi Jitokezeni  Kwa Wingi Kwenda Kupiga Kura Mchague Viongozi Watakaolinda  Maslahi Yenu  
Next Article Kituo Cha Umahiri Cha Upandikizaji Figo, Mafunzo, Kujengwa Hospitali Ya Benjamin Mkapa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Dkt. Ikomba wa CWT Aeleza Jinsi Elimu Ilivyobadilisha Taswira ya Tanzania kwa Miaka 64
Habari December 9, 2025
Profesa Ndunguru: Mtafiti Aliyejitoa Kusaidia Dunia Kupata Chakula Cha Baadae
Makala December 9, 2025
Profesa Ndunguru Abainisha Mwelekeo Mpya Wa Mageuzi Ya Kilimo Duniani
Habari December 9, 2025
TPDC na PURA Hakikisheni Watanzania Wananufaika na Rasilimali za Mafuta na Gesi- Salome
Habari December 8, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?