MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura
Habari

Mgombea Urais NCCR-Mageuzi Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza Kupiga Kura

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
1 Min Read
Na Mwandishi Wetu
MGOMBEA urais kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Ambary Haji Khamis, amewataka wananchi wote kujitokeza kwa wingi kushiriki katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025.
Akizungumza katika mikutano ya kampeni iliyofanyika jimboni Ilemela, jijini Mwanza, Khamis amesema kuwa ni jukumu la kila Mtanzania mwenye umri wa miaka 18 na kuendelea kushiriki katika mchakato wa uchaguzi, kwa kuwa ni haki yao ya kikatiba na kisheria.
“Twendeni tukapige kura Watanzania wenzangu… twendeni, vijana, wakina mama na wazee tukaichague NCCR-Mageuzi,” amesema.
Kwa upande wake, mgombea mwenza wa chama hicho, Dk. Eveline Munisi, amewataka wananchi kudumisha amani na utulivu wakati wote wa kipindi cha uchaguzi ili kuwezesha ushiriki mpana na salama wa wapiga kura.
Dk. Munisi amesisitiza Tanzania imeendelea kuwa kimbilio la amani katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati, tofauti na mataifa mengine yanayokumbwa na migogoro.
“Endapo amani hiyo itavunjika, Watanzania hawatakuwa na pa kukimbilia,” alionya Dk. Munisi.
Chama cha NCCR-Mageuzi ni miongoni mwa vyama vinavyowania nafasi ya juu ya uongozi nchini katika uchaguzi mkuu ujao. Kampeni zinaendelea katika maeneo mbalimbali ya nchi huku vyama na wagombea wakihimiza ushiriki wa kidemokrasia na utulivu wa kisiasa.

You Might Also Like

Wizara ya Nishati Yajivunia Jitihada Katika Kulinda Haki, Usawa na Kuwawezesha Wanawake

Dirisha  La Udahili Awamu Ya Pili Lafunguliwa-TCU

VETA Mikumi Yatengeneza Mashine Ya Kuchakata Majani Ya Mifugo

Kuelekea Uchaguzi Mkuu, Waandishi Watakiwa Kuandika Kwa Usahihi

VETA kushirikiana na Toyota Tanzania kuboresha mafunzo ya ufundi magari

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Tanzania yashiriki Kongamano la Afya Duniani jijini Berlin
Next Article CHAUMMA Yataka Kuvunja Bodi ya Korosho, Kuunda Mamlaka Mpya ya Mazao ya Kimkakati
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?