MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Masoko mapya nje ya nchi kuipatia nchi sh. trilioni 10
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Masoko mapya nje ya nchi kuipatia nchi sh. trilioni 10
Habari

Masoko mapya nje ya nchi kuipatia nchi sh. trilioni 10

Author
By Author
Share
2 Min Read

Na Lucy Ngowi

DODOMA: Naibu Waziri wa Kilimo David Silinde ametaja thamani ya awali ya mazao tisa yaliyofanyiwa mchakato wa kufungua masoko mapya kuwa ni dola bilioni 3.5 sawa na takribani sh trilioni 10.
Mazao hayo ni parachichi, ndizi, tumbaku, viazi mviringo, vanilla, nanasi, karafuu, pilipili manga na kakao.
Silinde ameeleza hayo alipokuwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya Uzinduzi wa Mchakato wa Kufungua Masoko Mapya ya Mazao ya Kipaumbele uliofanyika jijini Dodoma.
Amesema hiyo ni fursa kila mwananchi anaenda kuichangamkia kwa kufuata vigezo na kutimiza vigezo ambavyo vimewekwa.
“Tunahakikisha kuwa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania ( TPHPA), ndio wenye jukumu la kuhakikisha vile viwango vya nchi nyingine vinafikiwa na wakulima wanapata soko la uhakika katika maeneo yaliyoainishwa,” amesema.
Amesema ili kuhimili ushindani wa masoko ya nje na ufikiwaji wa masoko mapya nje ya nchi inahitajika kutekeleza kikamilifu sheria, taratibu na makato ya usafi wa mimea.
Ametaja nchi hizo kuwa ni China inahitaji vanilla na nanasi, Indonesia karafuu, Singapore karafuu, Israeli parachichi, Malaysia parachichi, Canada pilipili manga.
Nchi nyingine ni Uturuki nanasi, Brazil nanasi, Marekani kakao, Afrika Kusini ndizi, Zambia viazi mviringo, Pakistan tumbaku na Iraki tumbaku.
Kwa upande wake Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA), Profesa Joseph Ndunguru amesema hivi karibuni mamlaka hiyo imekamilisha makubaliano baina yake na nchi mbalimbali  kwa baadhi ya mazao.
Amesema mamlaka imeanza mchakato wa kupata masoko mapya ya vanilla, kakao, karafuu, pilipili manga, parachichi, ndizi na nanasi kwa msaada kutoka Umoja wa Ulaya na FAO.
“Zaidi ya hayo, kupitia mpango wa serikali wenyewe, pia tutakuwa tunatafuta masoko mapya ya tumbaku,” amesema.

You Might Also Like

‘Skills For Their Future’ Yanufaisha Wanafunzi Zaidi Ya 1000, Walimu 64 

Takukuru Kinondoni Yapokea Malalamiko 46 Kuhusu Rushwa

NEMC Kupambana Na Magugu Maji Ziwa Victoria

GST Yaelezea Mafanikio Yake

Matumizi Ya Baiteknolojia Nchini ni Madogo – Profesa Yanda

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Silinde Akabidhi Nyaraka za Kufungua Masoko Mapya Nje ya Nchi
Next Article Mkongo Wa Mawasiliano Unalenga Kuleta Tija Kwa Wananchi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?