MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi
Makala

Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
3 Min Read
Aahidi kuwakomboa wanawake
Na Mwandishi Wetu
KIPENGA cha uchaguzi kimelia na hivi sasa watu wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Katavi Martha Festo Mariki ni miongoni mwa watia nia katika nafasi hiyo ya ubunge wa Viti maalumu kupitia chama cha Mapinduzi(CCM).
Akizungumza Julai 30, 2025 jijini Dodoma, Martha anasema anawania nafasi hiyo kwa awamu nyingine ili aweze kuwapigania wanawake kuhakikisha wanaondokana na changamoto ya uzazi ili kupunguza vifo vitokanavyo na kadhia hiyo.
Martha ambaye amekuwa mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Katavi anataka kutetea kiti hicho kwa awamu nyingine kwa nia na dhamira ya kuhakikisha vifo hivyo vinapungua kwa kiasi kikubwa katika mkoa wake.
 “Niliingia ubunge mwaka 2020 nikilenga kuhakikisha napambana kuhakikisha nashughulika na kero na changamoto za mkoa wangu wa Katavi
“Kabla ya kuwa mbunge nilikuwa mwanachama wa CCM na niligombea kupitia nafasi za wanawake mikoa na nikafanikiwa kuingia na kwa mara nyingine naomba ridhaa tena.
“Kwa ujumla nawashukuru wana CCM Katavi kwa namna ambavyo wanawaamini vijana na wakanipatia nafasi hii lakini serikali yetu pia inavyoamini vijana
“Ninawashukuru kina mama wa Katavi kwa imani yao waliyonipa kwa kuniamini nikawawakilisha kama mbunge kijana,”anasema Martha.
Anaeleza kwamba katika kipindi hiki cha awamu nyingine nawaomba waendelee kuniamini kwani bado nina nia na sababu ya kuendelea kuwatumikia na wananchi wote Kwa maendeleo endelevu ya Katavi na taifa kwa ujumla.
Anaweka wazi kwamba ndoto yake kwa wanawake wa  Katavi ni kupunguza changamoto zote hasa za uzazi
“Katika hili tunamshukuru rais Samia Suluhu ambaye ni rais wa kwanza mwanamke na kwa kiasi kikubwa amejikita kutatua changamoto zinazowakabili wanawake nami naungana naye kuhakikisha tunaendelea kutatua changamoto za wanawake nchini hasa katika mkoa wangu wa Katavi,” anasema.
Anapongeza pia serikali kuendelea kupunguza vifo vya watoto wadogo wenye umri chini ya miaka mitano kwa na  kuboresha mazingira mazuri kwa kina mama wanaojifungua
“Ikiwa nitapata tena ridhaa ya kukalia kiti hiki nitafanya makubwa zaidi ya awamu iliyopita kwa kuhakikisha nawainua wanawake katika miradi yao wanayoianzisha ili wajikwamue kiuchumi,” anasema Martha.
Nitahakikisha nasimamia ndoto za vijana kutimia katika kuhakikisha nakuwa karibu nao hatua kwa hatua kwa ari na mali kwani vijana wengi hivi sasa wamekuwa wakishindwa kufikia malengo yao kutokana na kukumbwa na vishawishi ving

You Might Also Like

Kwelea Kwelea, Nzige, Viwavi Jeshi Kudhibitiwa Kwa Haraka

Daraja La Magufuli Laimarisha Uhusiano Wa Jumuiya Ya China,Tanzania Yenye Mustakabali Wa Pamoja

Mpulla: Serikali Imetekeleza Hoja Za TUCTA Kuiboresha CMA

Kenya, Tanzania Zashirikiana na China Kukabiliana na Changamoto za Ushuru wa Marekani

Madaktari Toka China Waleta Matumaini Barani Afrika

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TTCL Yaweka Punguzo Kubwa Kwa Vifaa Vya Mobile Kwenye Sabasaba
Next Article Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

ARTICLE 19,  JOWUTA KUSHIRIKIANA KUIMARISHA HAKI ZA WANAHABARI
Habari October 18, 2025
Profesa Ndunguru Aongoza Kikao Cha Mawaziri Wa DLCO- EA Akimwakilisha Bashe
Habari October 17, 2025
Mgombea NCCR-Mageuzi Awaasa Watanzania Wasikubali Propaganda
Habari October 17, 2025
Profesa Nombo: Ushirikiano wa VETA, Sekta Binafsi Waimarisha Mafunzo ya Ufundi Stadi
Habari October 17, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?