MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Makala > Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi
Makala

Martha Mariki Achukua Fomu Kutetea Nafasi Yake Katavi

Author
By Author
Share
3 Min Read
Aahidi kuwakomboa wanawake
Na Mwandishi Wetu
KIPENGA cha uchaguzi kimelia na hivi sasa watu wamejitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.
Mbunge wa Viti Maalumu mkoa wa Katavi Martha Festo Mariki ni miongoni mwa watia nia katika nafasi hiyo ya ubunge wa Viti maalumu kupitia chama cha Mapinduzi(CCM).
Akizungumza Julai 30, 2025 jijini Dodoma, Martha anasema anawania nafasi hiyo kwa awamu nyingine ili aweze kuwapigania wanawake kuhakikisha wanaondokana na changamoto ya uzazi ili kupunguza vifo vitokanavyo na kadhia hiyo.
Martha ambaye amekuwa mbunge wa Viti maalumu mkoa wa Katavi anataka kutetea kiti hicho kwa awamu nyingine kwa nia na dhamira ya kuhakikisha vifo hivyo vinapungua kwa kiasi kikubwa katika mkoa wake.
 “Niliingia ubunge mwaka 2020 nikilenga kuhakikisha napambana kuhakikisha nashughulika na kero na changamoto za mkoa wangu wa Katavi
“Kabla ya kuwa mbunge nilikuwa mwanachama wa CCM na niligombea kupitia nafasi za wanawake mikoa na nikafanikiwa kuingia na kwa mara nyingine naomba ridhaa tena.
“Kwa ujumla nawashukuru wana CCM Katavi kwa namna ambavyo wanawaamini vijana na wakanipatia nafasi hii lakini serikali yetu pia inavyoamini vijana
“Ninawashukuru kina mama wa Katavi kwa imani yao waliyonipa kwa kuniamini nikawawakilisha kama mbunge kijana,”anasema Martha.
Anaeleza kwamba katika kipindi hiki cha awamu nyingine nawaomba waendelee kuniamini kwani bado nina nia na sababu ya kuendelea kuwatumikia na wananchi wote Kwa maendeleo endelevu ya Katavi na taifa kwa ujumla.
Anaweka wazi kwamba ndoto yake kwa wanawake wa  Katavi ni kupunguza changamoto zote hasa za uzazi
“Katika hili tunamshukuru rais Samia Suluhu ambaye ni rais wa kwanza mwanamke na kwa kiasi kikubwa amejikita kutatua changamoto zinazowakabili wanawake nami naungana naye kuhakikisha tunaendelea kutatua changamoto za wanawake nchini hasa katika mkoa wangu wa Katavi,” anasema.
Anapongeza pia serikali kuendelea kupunguza vifo vya watoto wadogo wenye umri chini ya miaka mitano kwa na  kuboresha mazingira mazuri kwa kina mama wanaojifungua
“Ikiwa nitapata tena ridhaa ya kukalia kiti hiki nitafanya makubwa zaidi ya awamu iliyopita kwa kuhakikisha nawainua wanawake katika miradi yao wanayoianzisha ili wajikwamue kiuchumi,” anasema Martha.
Nitahakikisha nasimamia ndoto za vijana kutimia katika kuhakikisha nakuwa karibu nao hatua kwa hatua kwa ari na mali kwani vijana wengi hivi sasa wamekuwa wakishindwa kufikia malengo yao kutokana na kukumbwa na vishawishi ving

You Might Also Like

Mawasiliano Kati ya China, Afrika Juu Ya Mtazamo Wa Maandishi Ya Kifasihi

Shen Zhiying: Mkongwe Aliyeanzisha Kozi Ya Kiswahili Nchini China

IITA,TARI, TPHPA Wapambana Kudhibiti Ugonjwa Wa Fungashada Ya Migomba

BAADHI YA MATUKIO MAKUBWA YA UKATILI YALIYOFANYIKA MWAKA 2024

UDSM Chang’ara STICE – 2024 Kupitia Mhadhiri Na Mtafiti Wake Dkt. Mmochi

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article TTCL Yaweka Punguzo Kubwa Kwa Vifaa Vya Mobile Kwenye Sabasaba
Next Article Abubakar Assenga Aomba Ridhaa Ya Wananchi Wa Kilombero Wamchague Tena
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

Tunapokea Malalamiko Ya Wananchi, Tunayafanyia Kazi – Dario
Habari July 2, 2025
VETA Mtwara Yawafundisha Wanafunzi Uongezaji Thamani Kwenye Korosho, Mwani
Habari July 2, 2025
VETA Shinyanga Yatumia Kompyuta Kubuni Bidhaa 
Habari July 2, 2025
Wafanyakazi Wa Majumbani  700 Wapatiwa Mafunzo VETA
Habari July 2, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?