MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Lugendo Awataka Wananchi Kujenga Tabia Ya Kufanya Usafi
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Lugendo Awataka Wananchi Kujenga Tabia Ya Kufanya Usafi
Habari

Lugendo Awataka Wananchi Kujenga Tabia Ya Kufanya Usafi

Lucy Ngowi
By Lucy Ngowi
Share
2 Min Read
Na Danson Kaijage
DODOMA: WAKAZI wa Jiji la Dodoma wametakiwa kujenga utamaduni wa kufanya usafi wa mara kwa mara katika maeneo yao ya makazi na mahali pa kazi badala ya kusubiri kusukumwa na viongozi.
Kauli hiyo imetolewa na Ofisa Afya wa Jiji la Dodoma, John Lugendo,alipokuwa akizungumza na wakazi wa Kata ya Kizota Mtaa wa Relini wakati wa uhamasishaji ufanyaji wa usafi katika kata hiyo.
Lugendo amesema kuwa ni wajibu wa kila mwananchi anayeishi katika jiji la Dodoma kufanya usafi katika maeneo yake na kutambua kuwa usafi ni sehemu ya ujenzi wa Afya bora.
“Usafi inatakiwa kuwa sehemu ya tabia ya mwanadamu na usafi ni sehemu ya afya kwani usipokuwa na tabia ya kuwa msafi ni wazi kuwa unaweza kukaribisha magonjwa bila kujua.
“Nil lazima kuzingatia usafi na kuchukia uchafu ikiwa utaendekeza tabia ya uchafu katika sehemu za kazi au kwenye makazi yako hiyo tabia haina tofauti na mtu mwenye tatizo la afya ya akili,” amesema.
Kwa upande wake Sheik wa Kata ya Kizota katika Jiji la Dodoma,Hamed Selemani,ameeleza kuwa suala la usafi ni ibada kamili kwani hata mitume na manabii wote walihimiza usafi.
Kiongozi huyo wa Kiroho ambaye alishiriki suala la usafi amesema  ni wajibu wa kila kiumbe kutambua  kutokufanya usafi ni sawa na kumtumikia shetani kwani ndiye anayependa mambo ya uchafu kwa maana hata dhambi ni uchafu.

You Might Also Like

LATRA CCC Yatoa Angalizo Uhitaji Mkubwa Wa Wasafiri Mwisho Wa Mwaka

Dkt. Biteko ashiriki kilele cha miaka 60 JWTZ

TSLB Yatakiwa Kuimarisha Huduma za Kidijitali Ili Kukidhi Mahitaji ya Karne ya 21

Serikali Yazindua Mafunzo Ya Mtandao Ya Afya Moja

Walimu Kupatiwa Mafunzo ya Tehama

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article Biteko Amwakilisha Rais Samia Harambee Ujenzi Kanisa Katoliki
Next Article Maadhimisho Ya VETA Ya Miaka 30 Kuhitimishwa Machi 18 Hadi 21, DSM
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

CAG Aipongeza TARURA Kwa Ujenzi Wa Miundombinu
Habari January 9, 2026
Tuna Deni La Kusimamia Miradi Na Kusikiliza Kero za wananchi Ili Kuleta Maendeleo Ya Kweli-Salome
Habari January 9, 2026
Rais Dkt Samia Azindua Majengo Ya Kisasa
Habari January 8, 2026
TEA, UNICEF Watekeleza Miradi ya Elimu Visawani Zanzibar
Habari January 8, 2026
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?