MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
Magazeti
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Habari Mpya
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Chagua hapa
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
  • Advertise
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Reading: Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania
Share
Notification Show More
Font ResizerAa
Font ResizerAa
MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Search
  • Home
  • Habari
  • Mfanyakazi
  • Magazeti
  • Bookmarks
Follow US
© 2022 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
MFANYAKAZI TANZANIA > Tovuti > Habari > Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania
Habari

Kituo Cha Mkutano Cha Kimataifa Mlima Kilimanjaro Kuileta Dunia Tanzania

Author
By Author
Share
2 Min Read
Na Mwandishi wetu
ARUSHA: TAASISI ya Kituo cha Mikutano Cha Kimataifa Arusha (AICC), ) na Taasisi ya Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), wametiliana saini hati ya makubaliano ya Ujenzi wa kituo cha Mikutano Cha kimataifa cha Mlima wa Kilimanjaro kitakachojengwa jijini Arusha.
Aidha ujenzi huo utakamilika ndani ya miaka miwili.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Pindi Chana katika hafla hiyo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuelekeza  fedha za ujenzi wa kituo hicho.

Pia  ameagiza wasimamizi wa mradi hu, kuhakikisha ujenzi unaende haraka ili uweze kutumika kwa mkutano mkubwa ikiwemo ule Mkutano wa Dunia wa masuala ya nyuki na asalia mbao unatarajiwa kufanyika nchini, 2027.
Naye Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Mahmoud Thabit Kombo ameishukuru serikali kwa kutoa baraka za ujenzi wa kituo hicho utakao gharimu Sh. Bilioni 385.
 Pia ameishukuru  taasisi ya PSSSF kwa utayari wake na kutekeleza maelekezo ya mamlaka.
Amesema  uwekezaji huo ni mkakati wa Serikali unaolenga kukuza utalii wa mikutano yaani ‘Conference Tourism’.
Kwa upande wake, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwan Kikwete amesema ujenzi huo ni maelekezo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya Mwaka 2025 inayoelekeza umuhimu wa kujenga mazingira wezeshi na muhimu kwa ustawi wa Taifa,
Kiuchumi, kijamii na kiutamaduni pamoja na Maelekezo ya Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala (CCM) ya mwaka 2021.
Naye Mwakilishi kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina,  Neema Musomba amesema,
“Msajili wa Hazina anapongeza ushirikiano wa PSSSF na AICC, na kuwa ofisi ya Msajili wa Hazina wakati wowote itakuwa tayari kuhakikisha mradi huu unafanikiwa.”.
Nao watendaji wakuu wa PSSSF na AICC kwa nyakati tofauti wamesisitiza kutimiza wajibu wao ili kuhakikisha mradi huo kimkakati unakamilika kama ilivyopangwa.

You Might Also Like

August 10, 2024

Wasilisheni Migogoro Yenu Tume ya Usuluhishi na Uamuzi – Massawe

Baraza la uuguzi na ukunga lawakaribisha wenye malalamiko

Rais Samia Aungwe Mkono Ajenda Ya Nishati Safi Ya Kupikia-Makongoro Nyerere

Watanzania Acheni Kuchanganya Mazao -Jafo

Share This Article
Facebook Twitter Whatsapp Whatsapp Email Copy Link Print
Previous Article VETA Yatembelea Kiwanda Cha Kutengeneza Nyumba Bila Kutumia Tofali
Next Article Mwanafunzi Wa Shule Ya Msingi Mbezi, Aokolewa Mikononi Mwa Mtekaji
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Stay Connected

235.3kFollowersLike
69.1kFollowersFollow
11.6kFollowersPin
56.4kFollowersFollow
136kSubscribersSubscribe
4.4kFollowersFollow
- Advertisement -
Ad imageAd image

Latest News

NSSF Yaendelea Kutoa Elimu Ya Hifadhi Ya Jamii ‘ Karibu Tukuhudumie’
Habari June 21, 2025
Wananchi Watakiwa Kutowachagua Watoa Rushwa
Habari June 19, 2025
Kihenzile: Mifumo Ijengwe Kuhakikisha Huduma Zinapatikana Kwa Haraka, Salama, Zenye tija
Habari June 19, 2025
MOI Yawasogelea Dodoma, Mikoa Jirani
Habari June 19, 2025
//

To be acknowledged as Africa’s premier and most reliable digital media network, delivering exceptional content across all our platforms by 2025.

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

MFANYAKAZI TANZANIAMFANYAKAZI TANZANIA
Follow US
© 2024 Mfanyakazi Tanzania. All Rights Reserved.
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?